Wakazi wa Manyoni- Singida watakiwa kuuza asali au kuku mmoja ili kupata...
Mkuu wa wilaya ya Manyoni Fatma H.Toufiq, akizungumza kwenye uzinduzi wa uhamasishaji wananachi kujiunga na mfuko wa afya ya jamii (CHF) uliofanyika katika kijiji cha Itagata jimbo la Manyoni...
View ArticlePopstars Pressure G8 Leaders To End Poverty by singing famous protest songs...
Musicians including Jessie J and Tinie Tempah are performing at a free concert at the Tate Modern in London as part of a campaign to end world poverty. The Agit8 project aims to put pressure on the G8...
View ArticleMama Salma Kikwete atunukiwa tuzo ya Malengo ya Maendeleo ya Milinia ya mwaka...
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akipokea tuzo ya Millenium Development Goals, Women Progress Awards 2013, kutoka kwa Ms Jennie Yeung , Rais wa...
View ArticleMsichana wa miaka 19 mbaroni mkoani Singida kwa kutupa mtoto mchanga mwenye...
Kamanda mpya wa jeshi la polisi mkoa wa Singida ACP.Geofrey Kamwela akitoa taarifa kwa waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) juu ya kukamatwa kwa Aziza Jumanne (19) mkazi wa kijiji cha Sughana...
View ArticleRais Kikwete akutana na Waziri wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika.
Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika Mark Simmonds jijini London Uingereza leo.(picha na Freddy Maro).
View ArticleRev. Christopher Mtikila won the Case against the United Republic of Tanzania.
Mch.Christopher Mtikila akiwa kwenye kesi yake kwenye mahakama ya Afrika ya haki za binadamu jijini Arusha wakati wa hukumu ya kesi hiyo alioshinda ya kudai mgombea binafsi dhidi ya serikali ya...
View ArticleMh. Makamba na Mh. Kabwe wahudhuria show ya Kijanja ya Mwana FA ‘The Finest’...
Mwana FA akiwasili katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam huku akiwa amevalia suti matata iliyotengenezwa na mbunifu wa mavazi anayekuja kwa kasi nchini Sheria Ngowi.(Picha zote na...
View ArticleZanzibar waadhimisha Siku ya Wachangia Damu.
Mwanachi wa Zanzibar akichangia Damu katika madhimisho ya wachangia Damu Duniani kwenye Benki ya Damu salama Sebleni. Waziri wa Afya Juma Duni Haji akiwataka wananchi kuchangia Damu katika Benki ya...
View ArticleTanzania yaahidi kuendelea kuunga mkono hatua za Kimataifa za kutafuta amani...
KiongoziwaUjumbewa Chama cha Ukombozi wa Kipalestina Taysear Ishled akiagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif baada ya kumaliza mazungumzo yao. Makamu wa Pili wa Raiswa Zanzibar...
View ArticleThe Darkness.
The Darkness If only it were so simple, to cruise through life smelling roses; but the obstacles blacken the country side, and we unwittingly crush them beneath our boots. Dreams sustain us through...
View ArticleKampuni ya Steps Entertainment yanogesha Tuzo za Bongo Movie.
Pazia la Tuzo za Steps Bongo Movie Awards 2012-2013 lilizinduliwa na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Profesa Makame Mbarawa. Mkurugenzi wa Kampuni ya Steps Dilesh Solanki akimkabizi tuzo...
View ArticleFormer President Mbeki to chair high level talks on illicit financial flows.
The former President of South Africa, Mr. Thabo Mbeki will chair a two day High Level Meeting on illicit financial flows in Lusaka, Zambia on 17th and 18th June, 2013. The High Level Panel (HLP) on...
View ArticleKutoka Baraza la Wawakilishi Zanzibar.
Waziri waNchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mohd Aboud Mohd kulia akibadilishana mawazo na Waziri wa Afya Juma Duni Haji nje ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi mbweni nje ya mji wa Zanzibar....
View ArticleMaadhimisho ya siku ya Damu Salama Duniani mkoani Mara yafana.
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa jamii Mh.Seif Rashidi akikaribishwa na meneja waTigo kanda ya ziwa bw. Joseph Mutalemwa kwenye maadhimisho ya siku ya damu salama wilayani Musoma. Naibu Waziri wa...
View ArticleRais Zuma wa Afrika Kusini asema Mzee Mandela anaendelea vizuri na matibabu.
Rais wa zamani wa Afrika kusini Nelson Mandela anasemekana kuwa hali yake inaendelea vizuri baada ya kulazwa hospitali kwa muda wa siku tisa sasa. Rais Jacob Zuma amesema kuwa...
View ArticleMembers of the Kardashian family break the official silence following the...
The birth of Kim Kardashian and Kanye West’s baby girl has been welcomed by the reality television star’s family. No official comment has been released by the couple since reports of the birth...
View ArticleMamlaka ya mapato Tanzania –TRA mkoa wa Singida yakusanya mapato ya zaidi ya...
Afisa habari wa TRA mkoa wa Singida Bw. Zacharia Gwagilo akitoa mada yake iliyohusu matumizi ya mashine za kodi (EFDs) kwa wafanyabiashara wasiosajiliwa na VAT kwenye semina iliyofanyika kwenye...
View ArticleWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Czech kujiuzulu.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Czec Petr Necas, ametangaza kuwa atajiuzulu wadhfahuo hii leo. Necas amekuwa akishinikizwa ajiuzulu tangu pale Mnadhimu Mkuu wa serikali Jana Nagyova,...
View ArticleNape: Chadema ni Wahutuhumiwa namba moja.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari leo mjini Dodoma. Itakumbukwa tarehe 16/06/2013 ilikuwa ni siku ya uchaguzi mdogo wa madiwani kwa baadhi ya kata nchini....
View ArticleMakamu wa Rais Dkt. Bilal awajulia hali majeruhi wa bomu la Arusha.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyeshwa picha ya X-Ray, ya mmoja kati ya majeruhi waliolazwa kwenye Hospitali ya Mount Meru, Joseph Anthony, mkazi...
View Article