Wawili wapoteza maisha katika ajali ya gari
WASOMAJI WETU TUNAOMBA RADHI KAMA UTAKWAZIKA NA PICHA ZIFUATAZO. Mtoto mmoja aliyelalaliwa na kusababisha kifo chake na basi la Zuberi T.119 AZZ lilokuwa likitokea Mwanza kuelekea jijini Dar-es-salaam...
View ArticleWashindi wa promosheni ya Mimi ni Bingwa waipongeza Airtel
Afisa Mahusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde (kulia) akikabidhi kitita cha shilingi milioni moja kwa mmoja kati ya washindi wa milioni moja Bw. Ramadhani Wefa mkazi wa Kinondoni jijini Dar es...
View ArticleAfrican TV yaombwa kuendeleza kuelimisha jamii umuhimu wa maadili kazini
Mhariri muandamizi wa Gazeti la Financia Report lenye Makamu Makuu yake London Nchini Uingereza Bwana Rohit Devan akimuarifu Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi azma ya Gazeti hilo...
View ArticleTanzania lead at the Bamako International Marathon
Athletic Tanzania has nominated Mr. Samson Ramadhani Nyonyi and Mr. Oswald Revelian Kaharuzi to compete in Bamako Marathon in Mali with Mr. Leonard Thadeo -Director of Sports, Ministry of Information,...
View ArticleRais Kikwete afungua Baraza la Vyama vya Siasa
Rais Jakaya Mrisho kikwete akifungua mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa leo Februari 6, 2014 katika ukumbi wa mkutano wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam. Viongozi wa vyama...
View ArticleLife’s Demerit System
All married men will attest to some real wisdom in this blog …In the world of romance, one single rule applies: MAKE THE WOMAN HAPPY! Do something she likes, and you get points. Do something she...
View ArticleTaarifa ya Mkutano kwa Wana Weruweru
NOTICE IS HEREBY Given that a General Meeting of the foundation will be held at Cine Club, Mikocheni/Msasani, Dar es Salaam on Saturday, 8th February, 2014 at 10.00hrs. Mkutano wa Weruweru Alumnae...
View ArticleWorkshop On Developing Small-Holder Agriculture Through Technology Transfer
Dr. Philip I. Mpango, the Executive Secretary of the President’s Office, Planning Commission, one of the Organiser of the Workshop gives an opening remarking. Dr. Mpango elaborated the importance of...
View ArticleBaraza la Habari Tanzania lasisitiza ushirikiano kati ya Maafisa Habari na...
Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Kajubi Mukajanga(mbele aliyesimama) akiongea na Maafisa Habari na Mawasiliano kuhusu ushirikiano wa serikali na vyombo vya Habari katika kuimarisha...
View ArticleClimb Mt. Kilimanjaro Empower Girls Who Live In Poverty
Millions of girls in Tanzania are dis-empowered by the simple biological process of menstruation. Affordable and hygienic sanitary protection is not available to girls in many areas especially rural...
View ArticleWizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Zanzibar yabadilishana majengo na Benki...
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara Viwanda na Masoko Rashid Salum Ali wa kwanza (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar PBZ wa kwanza (kulia) wakitia saini makubaliano ya...
View ArticleMaria: Mume wangu aliongopa mahakamani ndoa yetu ikavunja
Maria Tarafa (wa kwanza kushoto) akiwa na watoto wake wanne aliozaa na Ndebile Kazuri akiwa amekaa kwenye kifusi cha sehemu ya nyumba anayokaa, mumewe ameibomoa nyumba hiyo ili kumfukuza eneo hilo....
View ArticleNaibu Waziri wa Sheria na Katiba, Bi. Kairuki Azindua Kampeni Care For Me!
Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Bi. Angellah Kairuki akifungua kitambaa kuashiria uzinduzi rasmi wa kampeni za ‘Care For Me!’ katika Kijiji cha SOS kilichopo jijini Dar es Salaam leo. Kampeni hizo za...
View ArticleDc Makete awakutanisha Polisi na madereva wa Bodaboda
Na Edwin Moshi, Makete Kutokana na ukosefu wa elimu ya sheria barabarani miongoni mwa madereva bodaboda wilayani Makete mkoani Njombe kunakopelekea madereva hao kukamatwa na askari wa usalama...
View ArticleWorld’s Largest Swimming Pool in San Alfonso, Chile. More than 1,000 yards long
World’s Largest Swimming Pool in San Alfonso, Chile. More than 1,000 yards long
View ArticleBank of Africa in Ethiopia
BANK OF AFRICA (BOA) Group is glad to announce the upcoming opening of a Representative Office in Addis Ababa, Ethiopia, of its subsidiary in Djibouti, BANK OF AFRICA-MER ROUGE. The license was...
View ArticleMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akutana na Balozi wa Oman...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi mpya wa Oman nchini Tanzania, Soud Ali Mohamed Al Ruqaishi, wakati alipofika ofisini kwake Ikulu...
View ArticleCUF walilalamikia ZEC kwa kusimamia vibaya uchaguzi mdogo Kiembesamaki
Mkurugenzi wa Haki za Binadamu na Mawasiliano ya Umma wa Chama cha Wananchi CUF Salum Bimani akizungumza na waandishi wa Habari kwenye Ofisi yao, Vuga Mjini Zanzibar. Waandishi wa habari kutoka vyombo...
View ArticleNape alaani Vitendo vya Kinyama vinavyofanywa na Chadema
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za CCM Mkoa wa Mwanza.Nape alisema kitendo cha wana CCM kushambuliwa ni kitendo cha kinyama na kinatakiwa...
View Article