Kikundi cha kuweka na kukopa cha Imani chazinduliwa Tandika, Temeke
MNEC wa Temeke Phares Magesa alikuwa Mgeni rasmi kuzindua kikundi cha Kuweka na kukopa cha Imani cha Tandika, Temeke. Ndg. Magesa alitoa nasaha na kuwataka kila mmoja kuwajibika kwa kufanya Kazi kwa...
View ArticleDC akemea posho kwa viongozi wa umma
Mkuu wa wilaya ya Singida, Mwalimu Queen Mwashinga Mlozi, akizungumza kwenye ufunguzi wa mkutano wa mrejesho wa utafiti wa marejesho ya taarifa ya mradi wa ufuatiliaji na uwajibikaji jamii.Wa kwanza...
View ArticleWaziri Fenella azindua program ya mafunzo ya mchezo wa Chess mashuleni
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akihutubia wadau wa mchezo wa Chess alipokuwa mgeni rasmi katka chakula cha usiku kilichoandaliwa maususi kwa ajili ya kuzindua...
View ArticleMakamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Mangu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na kumkaribisha Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini...
View ArticleKampuni ya Bia ya Serengeti Kuwapeleka Watanzania Brazil
Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Ephraim Mafuru (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Pamoja naye ni Meneja Masoko wa SBL, Allan Chonjo...
View ArticleWasanii na Waandishi walipokutana usiku wa tarehe 2 mjini Mbeya
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na wageni waalikwa kwenye sherehe za Usiku wa Wasanii na Waandishi wa Habari zilizofanyika usiku wa tarehe 2 Februari kwenye ukumbi wa...
View ArticleMh. Mahmoud Thabit Kombo ala kiapo Baraza la wawakilishi Zanzibar
Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Pandu Ameir Kificho akimuapisha Mhe. Mahmoud Thabit Kombo kuwa Muwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki, katika ukumbi wa baraza la Wawakilishi Mbweni. Mwakilishi wa...
View ArticleChina kuendelea kusaidia Zanzibar katika harakati za kuinua uchumi
Balozi Mdogo wa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China, Bwana Xie Yunliang akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar. Makamu wa Pili wa...
View ArticleBreaking News: Basi la Zuberi lapata ajali laua wanne papo hapo – Singida
Picha hii haihusiki na ajali ya basi la Zuberi iliyotokea mchana huu huko wilayani Ikungi. Mwandishi wetu, Ikungi BASI la Zuberi lenye namba T119 AA2 limepata ajali mbaya katika kijiji cha Nkuhi...
View ArticleKutoka kwenye msaada wa matibabu kwa Rais mpaka kusoma uandishi wa habari
Kijana Bakari Hassan Katumbaku (Kulia) akionyesha Picha zake enzi za utoto kabla ya kupata ajali ya moto kwa Waandishi wa Habari hawapo pichani leo Jijini Dar es Salaam, Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi...
View ArticleMakamu wa Rais Dkt. Bilal afungua ofisi ya IECO ukanda wa Afrika Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akikata utepe kufungua rasmi ofisi ya IECO ukanda wa Afrika, yenye makao yake makuu Beijing China iliyofunguliwa jijini Dar es Salaam Tanzania, leo...
View ArticleTigo yazawadia milioni 830/- kwa wateja 2,335
Mshindi wa promosheni ya Tigo ‘Shinda Kitita na Tigo Pesa’ Bi. Germina Shayo (kushoto) akipokea mfano wa hundi wa shilingi milioni 10 kutoka kwa Mratibu wa Promosheni wa Tigo Pesa Mary Rutta katika...
View ArticleMinister Of Health Opens Discussions On Maternal And Child Health In Tanzania
Mr. Amin Kurji, ADKN Resident Representative for Tanzania, giving remarks at the Canada-Tanzania Health Partnership. Seated on the panel from Left to Right is Dr. Donan Mmbando Chief Medical Officer...
View ArticleNaibu Waziri wa Fedha Adam Malima ahitimisha ziara ya kikazi Kanda ya Ziwa
Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima akiongea na wafanyabiashara wa jijini Mwanza katika ukumbi wa Benki Kuu alipokuwa kwenye ziara ya kutembelea mikoa ya Kagera, Mara na Mwanza. Wa kwanza ushoto ni...
View ArticleBenki ya CRDB yatoa Milioni 100 kusaidia walioathirika na mafuriko mkoani...
Rais Jakaya Kikwete akimkaribisha Ikulu jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, (kushoto), alipofika kutoa msaada wa sh. milioni 100 wa benki hiyo kwa ajili ya...
View ArticleThis is so beautiful
An anthropologist proposed a game to the kids in an African tribe. He put a basket full of fruits near a tree and told the kids that who ever got there first wins the sweet fruits. When he told them...
View ArticleGlobal Breaking, Tamasha la Jogging waahidi makubwa Dar Live J’pili Hii
Kutoka kushoto ni mratibu mwenza wa Tamasha la Jogging, Mashauri, Mratibu wa Jogging, KP, Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho, Mratibu wa Matukio wa Global, Luqman Maloto na Meneja wa...
View ArticleFurahia Siku Ya Wapendanao Na MeTL!
Habari njema kwako msimu huu wa Sikukuu ya Wapendanao! Furahi na Mohammed Enterprises Tanzania Limited kwa kushiriki shindano la TUMA PICHA ukiwa na mwenza (mpenzi) wako kwenye ukurasa wetu wa...
View ArticleSACGOT Corridor Anchors 110 Million Euro Agricultural Investment Project in Tea
From left to right: Juliet Kairuki, CEO, Tanzania Investment Centre, Peniel Lyimo, Deputy CEO, Presidential Delivery Bureau, Mrs Sophia Kaduma, Permanent Secretary Ministry of Agriculture; Hon. Chiza,...
View Article