Washiriki wa kliniki ya Airtel Rising Stars kutua Dar Jumatatu
Meneja uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mbando akiongea na waandishi wa Habari wakati wa kutangaza Kliniki ya Kimataifa ya mpira wa soka ya Manchester United ambayo itafanyika Jijini Dar es Salaam...
View ArticleRais Kikwete, TUCTA wajadili jinsi ya kuboresha maslahi na ustawi wa wafanyakazi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. -Aagiza kukamilishwa kwa uundwaji wa mabaraza ya wafanyakazi katika utumishi wa umma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...
View ArticleSalamu za Pasaka 2014 toka Chama Cha Mapinduzi Uingereza
CHAMA CHA MAPINDUZI – TAWI LA UINGEREZA – UNITED KINGDOM Website ccmuk.org, Blog ccmuk.org/blog, Facebook page chama cha mapinduzi uingereza, twitter CCMUK 1 Contacts Phone +44 74 04 863333, +44 7545...
View ArticleVijana wazalendo wa vyuo vya elimu ya juu Dar walaani vurugu zinazojitokeza...
Mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Gulatone Masiga akifafanua jambo kwa waandishi wa Habari(hawapo pichani), kushoto ni Acbert Sweya kutoka Chuo Kikuu cha Kampala.wakati wa Mkutano...
View ArticleAlphoce Felix na Jackline Sakilu washindi wa Tigo Ngorongoro Marathon
Kaimu Mhifadhi wa Mbuga ya Ngorongoro, Bw. Amio Amio ambaye aliyemwakilisha mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mbio za Tigo Ngorongoro zilizofanyika jana Aprili 19, 2014 kuanzia Mbuga ya Ngorongoro na...
View ArticleChege,YP wawasha moto Coco Beach
Msanii chipukizi wa muziki wa kizazi kipya Msomi John a.k.a War killer akiwapagawisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam katika Tamasha la Cheka Bombastik lililoandaliwa na Vodacom Tanzania mahususi kwa...
View ArticleFundraising Dinner Columbus yafana Balozi Liberata Mulamula asisitiza...
Mhe. Liberata Mulamula akipokewa na mweka hazina wa Jumuiya Bi. Vera Teri mara tu alipowasili kwenye fundraisng dinner ya Jumuiya ya Watanzania Columbus, Ohio iliyofanyika Comfort Inn siku ya Jumamosi...
View ArticleTamasha la Pasaka latikisa Uwanja wa Taifa
Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernald Membe aliyemuakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Tamasha la Pasaka lililofanyika jana kwenye u8wanja wa Taifa akizungumza na...
View ArticleWema Sepetu ashinda Tuzo ya Ijumaa Sexiest Girl, Weusi, Wanaume Family...
Mrembo Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ akiwa na tuzo yake baada ya kuibuka Ijumaa Sexiest Girl 2013/14 ndani ya Dar Live usiku wa kuamkia leo. Wema akiwashukuru mashabiki wake waliompigia kura...
View ArticleWakazi nyumba za TAMCO waiomba Halmashauri ya Kibaha kutengeneza barabara
Mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika mkoa wa Pwani, imesababisha madhara mengi, ikiwemo kuharibu vibaya kipande cha barabara kinachoanzia bwalo la magereza hadi nyumba za Tamco katika halmashauri...
View ArticleMama Kikwete awataka Walemavu kutokumlaumu mwenyezi Mungu kwa Ulemavu wao
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimkabidhi Kiongozi wa Kituo cha walemavu cha Raisbura Bwana Mohamed Chitawala baadhi ya vyakula alivyowaletea- mchele, unga, mafuta ya kupikia, sukai, soda na...
View ArticleMatukio mbalimbali yaliyojiri leo asubuhi mjini Dodoma linakoendelea Bunge...
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta(kulia) akibadlishana mawazo Mjumbe wa Bunge hilo Rashid Mtuta (kushoto) leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao cha asubuhi. Naibu Katibu wa...
View ArticleCCM Meatu yazoa viongozi wa CHADEMA
-Mwenezi wa Chadema Wilaya ya Meatu arudi CCM pamoja na viongozi wengine wa Chadema -Lugaila Madama aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema kata ya Mwandoya arudi CCM -Miyeye Robert aliyekuwa mwenyekiti wa...
View ArticleTutaendelea kutumia mashine mpya kukusanya kodi – Rais Kikwete
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Mbumge wa Karatu mchungaji Israeli Nase(Watatu kushoto),Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe (Wapili kushoto),Mkuu wa Mkoa wa Arusha Magesa Mulongo(kushoto) na...
View ArticlePinda aongoza waombolezaji kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Kalambo
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa pole kwa waombolezaji kabla ya kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Moshi Chang’a, nyumbani kwa Marehemu Mbagala Kibonde Maji...
View ArticleSerikali yaeleza mipango ya kuendeleza masoko jijini Dar es Salaam
Afisa Uhusiano Manispaa ya Ilala Bi. Tabu Shaibu akiwaeleza waandishi wa Habari (hawapo pichani)kuhusu mpango wa serikali wa kuendelea kuimarisha Masoko katika Jiji la Dar es Salaam, Wakati wa Mkutano...
View ArticleKanisa kutumia zaidi ya shilingi 214 milioni kujenga shule
Waziri wa Mali asili na Utaliii na Mbunge wa jimbo la Singida kaskazini,Lazaro Nyalandu. Na Nathaniel Limu, Singida KANISA jipya la Miracle Assemblies of God Ministry (MAGM) mkoani Singida...
View ArticleWatanzania wametakiwa kuchangamkia fursa za uwekezaji
Ofisa utumishi Mkuu Wilaya ya kinondoni Bwana Godfrey Mugomi akikata utepe kuashiaria uzinduzi wa Hoteli ya kisasa STAR CITY HOTEL iliyopo Afrikana Sinza wanaoshudia ni Mkurugezi mkuu na mmiliki...
View Article