Quantcast
Channel: MO BLOG » Admin
Browsing all 1758 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Weusi na Sheta kupamba Full Moon Party ndani ya Jembe Beach Resort Malimbe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Meya na Diwani wa Levolosi wapokea kichapo

Na Mahmoud Ahmad Arusha Naibu Meya wa jiji la Arusha Prosper Msofe na diwani wa kata ya Levolosi Ephatar Nanyaro wamepokea kichapo kutoka kwa mgambo wa halmashauri ya jiji la Arusha kwenye yadi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana amaliza ziara yake Wilaya ya Mlele kuhutubia leo Mpanda Mjini

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na ujumbe wake wakipata maelezo kutoka kwa Daktari wa Kituo cha Afya Inyonga Dk. Koni,Katibu Mkuu alitembelea kituo hicho ambacho kimeombewa kibali cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je ni kweli Wazanzibar kutoka chama tawala wanaufyata wakifika Dom mjengoni?

Mhariri Mkuu MOblog Tanzania Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma ni vituko, vioja, uchafuzi, lugha za matusi, mipasho kama ‘kitchen party’ au uwanja wa fisi pale kwenye bar ya rafiki yangu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kumbukumbu ya miaka 6 ya marehemu Anthony Saimon Njeje

Marehemu Anthony Simon Njeje Enzi za uhai wake. Ni miaka Sita sasa imepita tangu ulipo enda kwenye makao ya kudumu.Hatupo nawe kimwili lakini kiroho upo nasi daima. Tunakukumbuka sana Baba yetu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mpiga gitaa Skylight Band Chiri Challa afariki ghafla

Mpiga Gitaa wa Skylight Band maarufu kwa jina la Chiri Challa(pichani) amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia April 17 katika Hospitali ya Muhimbili. Taarifa za awali zimethibitishwa na uogonzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wajasirimali washauriwa kushiriki maonyesho yanayoandaliwa na SIDO

Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi akizungumza wakati wa kufungua mafunzo ya usindikaji nyanya,biashara na masoko yaliyohudhuriwa na wajasiriamali 36 kutoka Manispaa na Wilaya ya Singida.Kulia ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Wassira atembelea Banda la Wizara ya Mambo ya ndani ya nchi na Taasisi...

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Isaack Nantanga akimkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Wassira (kushoto) katika Banda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matumizi ya TEHAMA Kuongeza Tija TAMISEMI

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya TEHAMA toka  Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. Emmanuel Mahinga akitoa maelezo kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baraza kuu la wafanyakazi NSSF lakutana Dar es Salaam

Baadhi ya Wajumbe wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NSSF wakiwa katika mapumziko mafupi kabla ya kuendelea na mkutano wao. Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF),...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati ya Uongozi ya Bunge Maalum la Katiba yakutana kujadili namna ya...

Wajumbe wa Kamati ya Uongozi ya Bunge Maalum la Katiba wakiwa katika kikao cha Kamati hiyo leo mjini Dodoma, kilichokuwa kikijadili mambo mbalimbali ikiwemo jinisi ya kuwasaidia waathirika wa mafuriko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete na Wanafunzi katika Pantoni, ahani Kifo cha Kada wa CCM

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe wakiongea na watoto Samir Juma (fulana nyekundu) na Salum Chumu wakiwa katika pantoni la MV...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yaliyojiri Bunge maalum la Katiba mjini Dodoma

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu na mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, William Lukuvi akichangia Bungeni Mjini  Dodoma  Aprili 17, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Mjumbe wa Bunge Maalum la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa: Mjengwablog imerudi hewani saa kadhaa zilizopita

NDUGU ZANGU, MJENGWABLOG SASA IKO HEWANI . UNAWEZA KUITEMBELEA KUPITIA http://mjengwablog.com/ POLENI SANA KWA USUMBUFU NA TUNAWASHUKURU KWA KUENDELEA KUTUAMINI.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uzinduzi wa Global TV Online wafunika

Kutoka kushoto: Wasanii Dk. Cheni, Bi. Mwenda, Profesa Jay na Wema Sepetu wakishiriki kukata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa GlobaL TV Online jana. Wema Sepetu na Profesa Jay wakifunua vitambaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ni ukosefu wa adabu kuwatukana waasisi wa Tanzania – JK

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu kuwa baadhi ya Watanzania kuwatukana, kuwadhihaki na kuwakejeli...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana amaliza ziara yake wilaya ya Mpanda

  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua mradi wa ujenzi wa nyumba zinazojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa katika wilaya ya Mpanda mkoani Katavi ambapo nyumba 70 zimekamilika kati ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tigo yakabidhi msaada kwa Shirika la Red Cross Tanzania kwa ajili ya...

Meneja wa Uwajibikaji kwa Jamii kutoka Tigo Bi. Woinde Shisael (kulia) akimkambidhi mfano wa hundi cha kiasi cha Tsh 20,700,000 Kaimu Katibu Mkuu wa Shirika la Red Cross nchini Bi. Bertha Mlay mapema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAN CITY yajipanga kutoa burudani ya kipekee kwa Watanzania Pasaka

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Green Stars Industry inayomiliki eneo la FAN CITY Bw. Hasan Rizvi akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) mashine za michezo mbali mbali itakayotolewa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Changia Hilmy Disability Charity Organisation

Kwa wale wote wanaotembelea ukurasa huu tunawaomba kuchangia WATOTO wenye ulemavu Zanzibar. Kwa MTU yoyote mwenye MOYO wa kuchangia Standing Order kwa ACC 63972496. Sote 20.42.76. Jina: Hilmy Shawwal...

View Article
Browsing all 1758 articles
Browse latest View live