Quantcast
Channel: MO BLOG » Admin
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1758

Kikundi cha kuweka na kukopa cha Imani chazinduliwa Tandika, Temeke

$
0
0

MNEC wa Temeke Phares Magesa alikuwa Mgeni rasmi  kuzindua kikundi cha Kuweka na kukopa cha Imani cha Tandika, Temeke. Ndg. Magesa alitoa nasaha na kuwataka kila mmoja kuwajibika kwa kufanya Kazi kwa bidii na Maarifa ili kupiga vita maradhi, umaskini na ujinga ili kupata Maisha bora.

securedownload

Viongozi wa kikundi na Mgeni rasmi.

securedownload (1)

Mgeni rasmi akikata utepe kama ishara ya kuzindua kikundi hicho.

securedownload (2)

Mgeni rasmi akitoa nasaha.

securedownload (3)

Picha ya pamoja na wanakikundi.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 1758

Trending Articles