Quantcast
Channel: MO BLOG » Admin
Browsing all 1758 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nyalandu apongezwa na wapiga kura wake

Waziri Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akisalimiana na mwenyekiti mstaafu wa CCM wilaya ya Singida, Swalehe Msuri katika viwanja vya Mtinko jimbo la Singida Kaskazini.Waziri Nyalandu alikuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Muendelezo wa ziara ya Waziri Mkuu Lindi na Mtwara

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mizengo Pinda akizindua na kuweka jiwe la msingi la kiwanda cha saruji cha MEIS eneo la Machole mkoani.  Sehemu iliyoandaliwa kitakapojengwa kiwanda cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Trust Is Everything

Here are some pictures which shows the height of trust. These pictures become possible only due to trust.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mabondia wapima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa Jumapili ya Januari 26...

Bondia Muss Chitepete (kushoto) akitunishiana misuli na Ramadhani Shauli wakati wa upimaji wa uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika Jumapili ya January 26 katika ukumbi wa Friends Corner...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Loyola Sekondari yaadhimisha siku ya Mtoto wa Kike

Sehemu ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Loyola wakiwa katika maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Shuleni hapo. Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mohamed Chimsala (Danny) (Mudi Trafiki) amefariki leo katika Hospitali ya...

Marehemu Mohamed Chimsala (Danny) Enzi za uhai wake. Familia ya Kanal Chimsala wa Jeshi la wananchi Tanzania anaeishi Masaki Dar es salaam anasikitika kutangaza kifo cha mdogo wake Mohamed Chimsala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jumuiya ya Maendeleo ya Uvuvi wa Kojani (KOFDO) wakishirikiana na The...

Afisa Mipango Wilaya Kusini Unguja Bw. Faida Khamis Ali akifungua mafunzo ya siku tatu  juu ya uelimishaji wa sheria ya uvuvi kwa wakuu wa madiko na wavuvi,katika skuli ya kitogani Kusini Unguja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Operesheni M4C Pamoja Daima yaingia Mbeya

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa akihutubia mkutano wa hadhara wa Operesheni M4C Pamoja Daima, uliofanyika kwenye Uwanja wa Rwanda Nzovwe jana. Mbunge wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete alipohudhuria hafla ya chakula cha usiku kilichoandaliwa na...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Profesa Jeffrey Sachs usiku wa juzi, Jumatano, Januari 22, 2014, wakati wa mjadala kuhusu jinsi ya kuongeza kasi ya mafanikio katika kilimo cha Afrika kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askari Polisi, viongozi wa tarafa watakiwa kushirikiana

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi ambaye ni Polisi Tarafa wa Muklati Elibariki Kileo akitoa taarifa kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Liberatus Sabas wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Five undeniable Facts of Life

1. Don’t educate your children to be rich. Educate them to be Happy. So when they grow up they will know the value of things not the price. 2. Best awarded words in London … “Eat your food as your...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viwanda vya Ngozi, Mafuta vyakamilika Shinyanga

Kiwanda cha ngozi kilichopo manispaa ya Shinyanga ambacho kimekamilika na kazi ya kujaribisha mitambo inaendelea. Mkuu wa Mkoa Mhe. Ally N.Rufunga akipata maelezo ya maendeleo ya kiwanda hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dk. Shein kumnadi Mgombea Uwakilishi Jimbo la Kiembesamaki

Na Andrew Chale, Zanzibar MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi,  Dk. Ali Mohammed Shein leo Jumapili Januari 26, anatarajiwa kumnadi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Asha- Rose Migiro atembelea Tume ya...

Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Asha-Rose Migiro (kushoto) akipokea nakala za ripoti za Tume ya Mabadiliko ya Katiba ikiwemo Rasimu ya Katiba kutoka kwa  Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Joseph Warioba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal aongoza Harambee ya Ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano wa...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, wakati alipowasili kwenye Kanisa la Mtakatifu Peter...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Plus Size Clothing Sasa zinapatikana Zurii Fashion Boutique. Karibuni Sana.

Wale wateja wetu wa Plus Size tumesikia kilio chenu na sasa Zurii Fashion & Beauty Boutique kuna Stock Mpya kwa ajili yenu Plus Size ladies (wale mlio jaliwa neema hahaha). Size 14-20 sasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Makamu wake waunguruma mkoani Kagera

Mwenyekiti Taifa Freeman Mbowe na Makamu wake, Said Issa Mohamed wakishambulia jukwaa Ngara mkoani Kagera.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Pinda aendelea na ziara yake Mtwara

Mhandisi wa mradi wa kiwanda cha kuchakata gesi asili kilichopo katika eneo la Madimba kinachosimamiwa na Shirika la Maendeleo na Petroli Tanzania (TPDC) Sultan Pwaga akitoa maelekezo kwa Waziri Mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Beijing Airport by night

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Two year-old Chimpanzee feeding milk to “Aorn” a small tiger 60 days old !

View Article
Browsing all 1758 articles
Browse latest View live