Quantcast
Channel: MO BLOG » Admin
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1758

Muendelezo wa ziara ya Waziri Mkuu Lindi na Mtwara

$
0
0

01

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mizengo Pinda akizindua na kuweka jiwe la msingi la kiwanda cha saruji cha MEIS eneo la Machole mkoani. 

02

Sehemu iliyoandaliwa kitakapojengwa kiwanda cha saruji cha MEIS eneo la Machole mkoani.

03

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mizengo Pinda akitembelea baadhi ya maeneo ya kiwanda cha saruji cha MEIS  baada ya kikizindua.

04

Bi . Asha Ismail mkazi wa Kitomanga mkoani Lindi akitwishwa ndoo ya maji na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mizengo Pinda baada ya kuzindua kisima cha maji kilichojengwa na kampuni ya CCP inayojenga bomba la mafuta kutoka Mtwara kwenda Dar es salaam.

05

Mhandisi Baltazari Mrosso akitoa maelezo ya maendeleo ya ujenzi wa bomba la gesi linalotoka Mtwara mpaka Dar es salaam kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mizengo Pinda wakati anakagua maendeleo ya ujenzi wa bomba hilo.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 1758

Trending Articles