Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akizindua na kuweka jiwe la msingi la kiwanda cha saruji cha MEIS eneo la Machole mkoani.
Sehemu iliyoandaliwa kitakapojengwa kiwanda cha saruji cha MEIS eneo la Machole mkoani.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akitembelea baadhi ya maeneo ya kiwanda cha saruji cha MEIS baada ya kikizindua.
Bi . Asha Ismail mkazi wa Kitomanga mkoani Lindi akitwishwa ndoo ya maji na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda baada ya kuzindua kisima cha maji kilichojengwa na kampuni ya CCP inayojenga bomba la mafuta kutoka Mtwara kwenda Dar es salaam.
Mhandisi Baltazari Mrosso akitoa maelezo ya maendeleo ya ujenzi wa bomba la gesi linalotoka Mtwara mpaka Dar es salaam kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda wakati anakagua maendeleo ya ujenzi wa bomba hilo.