Tamasha la Jinsia Tanzania lafana Jijini Dar es Salaam
Washiriki wa mkutano wa tamasha la jinsia tanzania 2013 wakiandamana kuingia katika viwanja vya TGNP kabla ya kuanza kwa maadhimisho. Maadhimisho hayo yanaenda sambamba na kusherehekea miaka 20 ya...
View ArticleKumbukumbu ya Miaka 10 ya Ndg. Stephen S. Shilatu
Ilikuwa dakika, saa, mwezi na sasa ni miaka 10 kamili tangu alyekuwa Baba wa Marehemu John Stephano Shilatu, Mzee STEPHANO SHIGEMELO SHILATU wa Kisesa Mwanza atutoke ghafla duniani mnamo tarehe...
View ArticleMusic Preview : Booze and the money by Zigua
Title: Booze and the money By: Zigua Produced by: Zigua Beat By: Stiggo of SnSrecordNY
View ArticleWito wa Wananchi kuhusu Tozo/Kodi ya Laini ya Simu yafika Bungeni
Sehemu ya Wabunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Press Release Bunge by dewjiblog
View ArticleKinana akutana na Balozi wa Sudan
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) akimkaribisha Balozi wa Sudan hapa nchini, Dk. Yassir Mohamed Ali,kabla ya mazungumzo naye, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es...
View ArticleDear Men!
Dear Men, A woman who loves you truly will never ask you to buy her expensive gifts or take her to expensive places… She won’t ask for diamonds, rubies or a promise to bring her a world of luxuries…...
View ArticleRais Kikwete na Mama Salma Kikwete washiriki Mazishi ya Askofu Mkuu wa Kanisa...
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakitoa heshima za mwisho na kuweka udongo katika kaburi la aliyekuwa Muasisi na askofu Mkuu wa Kanisa la EAGT Marehemu Dkt. Moses Kulola...
View ArticleMasuperstar wa Bongo akiwemo Wema Sepetu, Kajala, Dully Sykes na wengine...
Vijana wa Skylight Band kutoka kushoto ni Rappa Joniko Flower, Sony Masamba na Sam Mapenzi wakishambulia jukwaa Ijumaa iliyopita kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village Masaki jijini Dar. Pia...
View ArticleWonders Of 21st Century
Our Phones = WIRELESS Our cooking = FIRELESS Our Cars = KEYLESS Our Food = NEUTRITIONLESS Our Tires = TUBELESS Our Dresses = SLEEVELESS Our Youths = JOBLESS Our Leaders = SHAMELESS...
View ArticleSiku ya Pili ya Tamasha la Jinsia Tanzania 2013
Meneja wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Lilian Liundi (katikati) akichangia mada kwenye moja ya semina anuai zinazoendelea katika Tamasha la jinsia 2013...
View ArticleMstahiki Meya Mh. Jerry Silaa akabidhi Magodoro 50 Hospitali ya Taifa Muhimbili
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Jerry Silaa akiwa ameongozana na Mwenyekiti wa kikundi cha Neema Womans Power Bi.Maryam Dedes kuelekea kwenye chumba cha mikutano katika Hospitali ya Taifa...
View ArticleShindano Jipya la Tanzania Top Model lazinduliwa Jijini Dar Es Salaam
Mbunifu wa mitindo nchini Asia Idarous akizungumza wakati wa uzinduzi wa shindano jipya la wanamitindo linalojulikana kwa jina la Tanzania Top Model uliofanyika kwenye mgahawa wa City Sports Lounge...
View ArticleWaziri Maghembe ashikia dau Big Result Now
Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe akiwa amesimama juu ya mradi wa maji wa Miganga, pembeni yake akiwa na Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde katika ziara aliyoifanya Wilayani Chamwino, mkoani...
View ArticleWalimu waaswa kuzingatia viapo katika usimamiaji wa mtihani wa kumaliza Elimu...
Mkuu wa shule ya msingi Ikungi mchanganyiko, Olivary Kamili akiagalia wanafunzi wakijipanga tayari kuingia madarasani kuanza masomo.Picha na Nathaniel Limu. Na Nathaniel Limu Mkurugenzi Mtendaji wa...
View ArticleMsafirishaji Mbabaishaji asababisha Shehena ya Malawi iliyokuwa imezuiliwa...
Udanganyifu uliofanywa na msafirishaji aliyepewa zabuni ya kusafirisha transformer zinazotakiwa kupelekwa nchini Malawi kupitia bandari ya Dar es Salaam umesababisha shehena hiyo kutakiwa kulipiwa...
View ArticleNyama Choma Festival ni Jumamosi Hii
Kwa mara nyingine kwa wale wapenzi wa Nyama Choma yaani “ Nyama Choma Festival “ ule wakati adhimu wa kujilamba vidole umewadia namaanisha Jumamosi hii katika viwanja vya Posta jijini Dar-Es-Salaam....
View ArticleBMAF launches the second strategic plan
By Eleuteri Mangi- MAELEZO The Benjamin William Mkapa HIV/AIDS Foundation (BMAF) launched the second strategic plan for quality health service guided by core value including excellence, innovation,...
View ArticleMakamu Wa Rais Dkt. Bilal, akutana na Uongozi wa Kampuni ya Simu za Mkononi...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na kumkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Simu za mkononi Zantel, Pratap Ghose, wakati alipofika...
View ArticleBodi yaanzisha kiapo kwa wahandisi wataalamu
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (kulia) akizindua rasmi kiapo cha utii kwa Wahandisi Wataalamu jijini Dar es Salaam kilichofanyika katika hafla ya maadhimisho ya Siku ya Wahandisi 2013. Picha...
View Article