What If Famous Brands Make Unexpected Products
Famous brands are recognized for their flagship products, but would their brand shine on other products? Like if Crocs actually developed an umbrella. Would it be legit? Lipton Cigarettes. The...
View ArticleRidhiwani azidi kupeta Chalinze
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimnadi mgombea wa nafasi ya ubunge jimbo la Chalinze kupitia CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye kijiji cha Mazizi...
View ArticleWajumbe wa Bunge maalum la Katiba waonywa kuweka mbele maslahi ya taifa
Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini Peter Kuga Mziray (katikati) akitoa tamko la Kamati ya Uongozi wa Baraza hilo leo mjini Dodoma juu ya mwenendo wa Bunge Maalum la Katiba ambapo aliwataka...
View ArticleWahudumu Hoteli Iringa mbaroni kwa tuhuma za kumwibia Mzungu
Kamanda wa polisi mkoani Iringa Kamishina Msaidizi Ramadhan Mungi. MNAMO TAREHE 27/03/2014 MAJIRA YA SAA 01:00HRS HUKO SIASA NI KILIMO KATA YA GANGILONGA MANISPAA YA IRINGA. WATU WASIOFAHAMIKA...
View ArticleKamati ya elimu yajadili rasimu ya sheria na hati ya mfuko wa Afya Gairo
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo, Godlove Nnko akiwakilisha mada yake wakati wa kikao cha kamati Elimu Afya na Maji ya Halmashauri ya Wilaya ya Gairo, lengo la kikao hicho ni kujadili...
View ArticleMaoni: Serikali tatu au muungano halisi kipi kinatakiwa?
Dr.Kilahama -Mwenyekiti, Kamati ya Misitu Duniani chini ya FAO na Mkurugenzi Mstaafu-Idara ya Misitu na Nyuki, Wizara ya Maliasili na Utalii, Jamhuri wa Muungano Tanzania. Na Dkt. Felician Kilahama,...
View ArticleMaelfu wajitokeza kuuga mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara Marehemu John...
MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA JOHN GABRIEL TUPA UKITOLEWA KWENYE NDANI YA MAKAZI YAKE WAOMBOLEZAJI WAKIWA NYUMBANI KWA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA KUTOKA KUSHOTO KAIMU KAMANDA WA POLISI MKOA...
View ArticleRidhiwani aendelea kuzisaka kura jimbo la Chalinze
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete akipandisha bendera kwenye shina la wakereketwa wa CCM la Zinduka katika Kijiji cha Chahua,Kata ya Bwilingu Machi 27,...
View ArticleWakazi wa singida washauriwa kununua ving’amuzi kwa mawakala walioteuliwa
Meneja Mawsiliano TRCA, Bw. Innocent Mungy. Na Nathaniel Limu, Singida WAKAZI wa Manispaa ya Singida wameshauriwa kununua ving’amuzi kwa wakala walioteuliwa na mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA),...
View ArticleSkylight Band yazidi kuwakuna mashabiki wake ndani ya kiota cha Thai Village
Waimbaji wa Skylight Band kutoka kushoto Hashim Donode, Digna Mbepera, Winfrida Richard na Aneth Kushaba AK47 wakitoa burudani kwa mashabiki wao Ijumaa iliyopita kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai...
View ArticleRITA kushirikiana na shule kutoa vyeti vya kuzaliwa Wanafunzi
Hivi karibuni Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) ulizindua zoezi la Usajili na Kutoa vyeti katika Shule za Msingi katika Manispaa ya Ilala Jijini Dar es Salaam. Zoezi hili ni sehemu ya...
View ArticleKampuni kubwa za Ujenzi kutoka Uturuki zavutiwa na Tanzania
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya KAYA Bw. Orhan Babaoglu (kushoto) akiwasilisha kwa Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, utambulisho wa makampuni ya Uturuki ambayo yamefungua ofisi hapa nchini...
View ArticleMbunge wa Nzega, Dk. Kingwangalla: TCME wameupotosha Umma
Mbunge wa Nzega, Dk. Khamis Kigwangalla.
View ArticlePinda ahudhuria ibada ya kumwombea Hayati Tupa
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa kwenye viwanja vya Nyerere mjini Dodoma Machi 28, 2014.Wengine pichani ni Waziri Mkuu Mstaafu, Edward...
View ArticleVideo: Kwa nini wanawake hawachaguani?
Ni swali ambalo kila mtu huwa anajiuliza hasa ukizingatia kuwa takwimu zinaonesha kwamba wanawake ni wengi zaidi ya wanaume katika jamii. Kama ni hivyo, kwa nini wagombea wengi wa nafasi mbali mbali...
View ArticlePinda kukutana na surprise leo Dodoma
Stori: Ojuku Abraham WAZIRI Mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda leo atakutana na ‘surprise’ ya aina yake, wakati atakapokabidhi tuzo kwa mwanamke bora wa mwaka, ambaye hadi sasa bado hajafahamika ni nani...
View ArticleRidhiwani aiteka Pera
Mwananchi wa Kata Pera waahidi kumpigia kura Ridhiwani Kikwete tarehe 6 mwezi wa nne baada ya kuridhishwa na Hotuba zake zinazogusa changamoto zao kama elimu, maji, zahanati, barabara na namna...
View ArticleWanafunzi wa UDOM mwaka wa mwisho, waahidi kujiunga na PPF
Meneja Uhusiano na Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Lulu Mengele, akitoa mada kuhusiana na huduma mbalimbali zitolewazo na Mfuko huo kwenye semina iliyoandaliwa na Mfuko huo kwa wanafunzi wa mwaka...
View Article