Vijana watakiwa kuwa waadilifu katika mapambano dhidi ya Rushwa nchini
Kiongozi wa Mbio za Mwenge taifa Juma Ali Simai. (Picha na Maktaba). Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi Vijana nchini wametakiwa kuwa wa wazi, waaminifu na waadilifu kwani huo ndiyo msingi mkubwa wa...
View ArticleKatibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akagua miradi mbalimbali na kuzungumza...
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na Suleiman Nchambis Mbunge wa Jimbo la Kishapu katika mji wa Maganzo wakati alipowasili rasmi katika Wilaya ya Kishapu leo...
View ArticleWaziri Dk. Nchimbi ateta na Watendaji wa Idara ya Uhamiaji Makao Makuu leo
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi akizungumza na watumishi wa Idara ya Uhamiaji Makao Makuu pamoja na wawakilishi wa idara hiyo Mkoa wa Dar es Salaam (hawapo pichani) kuhusu...
View ArticleKanali Abdulrahman Kinana aanza ziara Mkoani Simiyu, atinga Maswa
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na kusalimiana na wananchi Wilayani Maswa mara baada ya kuwasili akitokae Shiyanga, ambapo anaendelea na ziara yake ya kuimarisho...
View ArticleWaumini wa dini ya kiislamu watakiwa kuwa pamoja katika kuendeleza masuala ya...
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete. Na Anna Nkinda – Maelezo Waumini ya dini ya Kiislam nchini wametakiwa kuwa pamoja katika kuendeleza masuala ya kiimani bila ya kuhitilafiana kwani hititafu ndogo huzaa...
View Article“Nina cement Kali ya Kuziba Mpasuko TPA”– Dr Mwakyembe
Na. Mwandishi wetu. Waziri wa Uchukuzi Dk Harrison Mwakyembe (pichani) ameipa siku moja Menejimenti ya Mamlaka ya Bandari (TPA) kutaja majina ya watu wanaoiba mafuta katika bomba kubwa la kupakulia...
View ArticleMaafisa Mawasiliano waaswa kuhabarisha na kuelimisha shughuli za Serikali
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiongea na Maafisa Mawasilino Serikalini (hawamo pichani) wakati akifungua mkutano wa tathmini wa awamu ya kwanza ya...
View ArticleTIB kuanza uwekezaji kwenye miundombinu ya Reli
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Benki ya TIB, Peter Noni (Picha na Maktaba). -Kusudio ni kuharakisha maendeleo ya usafirishaji wa mizigo na mawasiliano Na Damas Makangale, Mbeya BENKI ya Maendeleo Tanzania...
View ArticleKatibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana aendelea na ziara yake mkoa mpya...
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Msanii Fadhil Mungi wa kikundi cha ngoma cha Meatu wakati alipowasili na kupokelewa na uongozi wa Chama Wilaya ya Meatu...
View ArticleTanzania yalitaka Gazeti la Malawi News kuomba radhi kwa upotoshaji
Msemaji wa Serikali ambaye pia ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw. Assah Mwambene akitoa ufanunuzi kwa waandishi wa habari jana mjini Dar es salaam juu ya taarifa zilizochapishwa na gazeti la Malawi...
View ArticleSemina ya fursa yafanyika leo Morogoro
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Mwansiti Almasi akifafanua namna anavyonufaika na huduma za NSSF,mara tu walipojiunga kupitia kundi lao la Lekadutigite,ndani ya semina ya fursa twendzetu...
View ArticleRais kikwete aanza ziara za Marekani na Canada
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) ameondoka nchini leo, Jumapili, Septemba 15, 2013, kwenda Marekani na Canada kwa ziara za kikazi ambako miongoni mwa...
View ArticleAha Jokes….A blind man vists the state of Texas!
There once was a blind man who decided to visit Texas. When he arrived on the plane, he felt the seats and said, “Wow, these seats are big!” The person next to him answered, “Everything is big in...
View ArticlePinda akutana na Balozi wa China nchini na viongozi wa kampuni ya HUAWEI
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisikiliza maelezo kuhusu picha ya watawala wa asili wa China kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Huwawei Technologies nchini, Bw. Bruce Zhanga na Mkurugenzi...
View ArticleRais Dkt. Kikwete afungua Ubalozi wa heshima San Francisco
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kufungua rasmi ofisi ya ubalozi wa heshima(Honorary Consulate) wa Tanzania jijini San Francisco nchini Marekani.Kulia ni Balozi wa heshima wa Tanzania...
View ArticleWizara yasema Balozi wa China akiuka taratibu na Sheria za Kidiplomasia
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imefuatilia taarifa kwenye vyombo vya habari mbalimbali hapa nchini, kuhusu kushiriki kwa Mheshimiwa Lu Younqing Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China...
View ArticleMbwa waliotumika kumlinda Prince William jeshini wauawa
-Kwa sababu ya kushidwa kupangiwa majukumu mapya au kupelekwa nyumbani kwa mwana mfalme Na Damas Makangale Moblog, kwa Msaada wa Mtandao Mbwa wawili walinzi wa Prince William wa Uingereza...
View ArticleRais Kikwete amtetua Bi. Jacqueline Maleko kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANTRADE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bi. Jacqueline M. Maleko (Pichani) kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE)....
View Article