Quantcast
Browsing all 1758 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kubali kipaji cha Mtoto wako, tukutane Ledger Plaza Bahari Beach tarehe 25,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ICC yaahirisha kesi ya Rais Kenyatta

Rais wa Kenya Mh. Uhuru Kenyatta. Kesi inayomkabili Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta huenda ikachelewa kuanza baada ya mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa jinai (ICC) Kukiri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mariah Carey alipwa dola milioni 1 kufanya show kwa ajili ya dikteta wa Angola

Mariah Carey, katikati, akiwa na Rais wa Angola, Jose Eduardo Dos, familia yake  siku ya Jumapili iliyopita. Na.MOblog kwa msaada wa mtandao. Mwimbaji huyo alitumbuiza kwa saa mbili tamasha la Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete amekubali kutengua nyadhifa za mawaziri wanne kufuatia ripoti ya...

Waziri Mkuu Mizengo Pinda.  Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda amethibitisha hayo jioni hii Bungeni mjini Dodoma. Mawaziri hao waliotenguliwa nyadhifa zao ni: Mhe. David Mathayo David wa Mifugo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tazama Simba wakiwa juu ya Mti katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi Morogoro

Imezoeleka kuona Simba pekee ambao wanaweza kupanda juu ya Miti ni kutoka hifadhi ya Taifa ya Manyara. lakini hata hivyo kulikuwa hapajajulikana si hifadhi ipi nyengine ambayo Wanyama hao waliweza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama Regina Lowassa ashiriki Chakula cha mchana pamoja na Watoto wenye...

  Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu,Mama Regina Lowassa akishiriki kuhudumia chakula watoto wenye ulemavu  katika Kituo cha Huduma ya Walemavu kinachomilikiwa na Jimbo Kuu Katoliki jijini Arusha kilichopo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Margareth Simalenga atunukiwa Shahada yake Chuo Kikuu cha Mzumbe

Margareth Simalenga, akipozi kwa picha mara baada ya kuhitimu shahada ya uzamili katika Uongozi wa biashara (usimamizi wa mashirika) yaani Master in Business Administration (Corporate Management)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uzinduzi wa Ripoti ya Uwezo

 Msanii Mrisho Mpoto akielezea kupitia mashairi  Mama Zaida Mgalla akitoa ufafanuzi kwa ripota wa Uwezo TV Bi. Melania Mhagama   Mgeni Rasmi akionyesha ripoti baada ya kuzindua. Wakati ambapo asilimia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tunawatakia Heri ya Krismasi,Mwaka Mpya

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nape aridhika na Mawaziri kuwajibishwa

KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye. *Asema sasa ni fundisho kwa watakaolala *ziara za Kinana zimesaidia sana kutatua kero *Bado moto wa ziara hizo haujapamba *2015 CCM kurejesha viti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hiki ndicho alichokisema Mh. Zitto Kabwe kwa Wananchi wake kwenye mkutano wa...

Mh. Zitto Kabwe baada ya kutua Uwanja wa Ndege mjini Kigoma akilakiwa na baadhi ya viongozi wa Chadema mjini Kigoma. Leo nina furaha kubwa sana kwani baada ya safari ndefu na yenye changamoto nimerudi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

France implants its first artificial heart

It is a world’s first: an artificial heart designed to stay in the body for five years. Similar devices have been used for decades as a short-term measure, but recipients will be able to keep this one...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakazi 6 wa Mkoa wa Iringa watimka na Bodaboda za Vodacom Iringa

  Mshindi wa Pikipiki katika Promosheni ya Timka na Bodaboda inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Salome Kalinga(wanne toka kushoto)mkazi wa Iringa,akipokea funguo wa pikipiki yake aliyojishindia katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

20 Beautiful Examples Of IPad Finger Painting

Make no mistake, it isn’t easy to draw on iPads (give it a try) and yet these artists made quite wonderful masterpieces. Through an amazing array of techniques, incredible talent and a love of art...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya KCB Tanzania yamwaga misaada jijini leo

Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya KCB Tanzania Moezz Mir(wapili toka kulia)akimkabidhi msaada wa Mashine ya kupasha moto vifaa vya hospitali kabla ya matumizi na baada ya matumizi  kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mh. Lowassa ashiriki Tamasha la waendesha Bodaboda Jijini Dar Leo

 Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwahutubia Vijana waliojiajiri kwa kazi ya kuendesha pikipiki za kupakia abiria maarufu kama Bodaboda wa Mkoa wa Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Manji awaomba wanachama wa Yanga wasivunjike moyo

Mwenyekiti wa Yanga Bw.Yusuf Manji akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu, kushoto ni makamu mwenyekiti Clement Sanga. Mwenyekiti wa klabu ya Young Africans Bw. Yusuf Manji amewaomba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwalimu shule msingi amtia mimba mwanafunzi wake

Ofisa Elimu Msingi, Wilaya ya Nkasi, Bw. Misana Kwangura akizungumza na Thehabari.com. Na Thehabari.com, Namanyere-Nkasi MWALIMU mmoja wa Shule ya Msingi Sintali (jina tunalo) anatuhumiwa kwa kuwatia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UVCCM wampongeza JK kwakuwawajibisha mawaziri

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete. NA BASHIR NKOROMO UMOJA wa Vijana wa CCM, Kata ya Mabibo, Kinondoni jijini Dar es Salaam, umempongeza Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kwa kuwavua uongozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majambazi yalioua askari yajulikana

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na tukio la kujulikana kwa Majambazi yaliyoua askari mkoani Singida. Na...

View Article
Browsing all 1758 articles
Browse latest View live