Quantcast
Channel: MO BLOG » Admin
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1758

Rais Kikwete amekubali kutengua nyadhifa za mawaziri wanne kufuatia ripoti ya ‘Operesheni Tokomeza’ iliyotolewa mapema leo bungeni.

$
0
0

waziri mkuu mizengo Pinda akijibu masualili leo bungeni

Waziri Mkuu Mizengo Pinda.

 Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda amethibitisha hayo jioni hii Bungeni mjini Dodoma.

Mawaziri hao waliotenguliwa nyadhifa zao ni: Mhe. David Mathayo David wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Balozi Khamis Kagasheki wa Maliasili na Utalii, Mhe. Emmanuel Nchimbi wa Mambo ya Ndani na Mhe. Shamsi Vuai Nahodha wa Ulinzi.

Mhe. Kagasheki alitangaza kujiuzulu mapema kabla uamuzi huo uliotangazwa na Waziri Mkuu.

********************

Hizi ni baadhi ya post kwenye wall ya  Facebook ya Mh Zitto Kabwe kufuatia kusomwa kwa Taarifa ya Kamati ya BUNGE kuhusu Operesheni Tokomeza.

Untitled

Untitled 1

Untitled 2

Untitled 3

 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 1758

Latest Images

Trending Articles



Latest Images