Quantcast
Channel: MO BLOG » Admin
Browsing all 1758 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Samsung yahamasisha Kulinda haki za Mteja kupitia promosheni ya Pambika na...

Meneja Mauzo na Usambazaji wa Samsung Tanzania Bw. Sylvester Manyara (katikati) akichezesha droo ya nne ya Pambika na Samsung huku akishuhudiwa na Msimamizi toka Bodi ya michezo ya kubahatisha Bw....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Unyanyapaa bado ni tatizo mikoani

Meneja mradi wa Global Fund uliopo chini ya AMREF Tanzania, Andulile Kanza, akitoa maelezo juu ya mradi wao wa uhamasiahaji wa upimaji wa afya wenye lengo la ifikapo mwaka 2015 maambukizi mpya ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MeTL yazindua show ya mwaka kwa watoto na vijana

Mkurugenzi wa Masoko wa MeTL Group, Bi. Fatema Jaffer, akizungumza na waandishi wa habari juu ya umuhimu wa kusaidia jamii kupitia (Corporate Social Responsibility) kama njia mojawapo ya kupiga vita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Malkia Maxima wa Uholanzi kutua Dar kesho

Malkia wa Uholanzi Mhe. Maxima anatarajiwa kuwasili nchini tarehe 11 Desemba, 2013 kwa ziara ya kikazi ya siku tatu. Mhe. Maxima ambaye pia ni Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ongezeko la kuripoti vitendo vya Ukatili na Unyanyasaji wa Kijinsia lafikia...

Mkaguzi wa Jeshi la Polisi toka Dawati la Jinsia na Watoto Mkoani Arusha Honorina Msoka akitoa zawadi kwa mmoja wa wagonjwa waliokuwa wamelazwa katika wodi ya Watoto na akina mama katika hospitali ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NBC yamwaga zawadi kwa washindi wa promosheni ya “Weka Upewe”

Mkuu wa Huduma za Rejereja za Kibenki wa Benki ya NBC Tanzania, Mussa Jallo (wa pili kushoto) akizungumza katika  hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi wa droo ya kwanza ya promosheni ya ‘Weka Upewe’...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diagnostic Review for Increasing Consumer Awareness and Protection and...

The World Bank today presented at a Bank of Tanzania Dissemination Workshop the findings of the Diagnostic Review for Increasing Consumer Awareness and Protection and Financial Services in Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete ahudhuria Sherehe za Miaka 50 ya Uhuru wa Kenya leo

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete(kulia) wakihudhuria sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Kenya zilizofanyika katika uwanja wa Michezo wa Kasarani mjini Nairobi leo.Kushoto ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr. Migiro ala kiapo Bungeni mjini Dodoma leo

Mbunge wa Kuteuliwa , Dr. Asha – Rose Migiro akiongozwa na Mpambe wa Bunge  na kusindindikizwa na badhi ya wabunge wa CCM kuingia Bungeni ili kuapishwa na Spika wa Bunge, Anne Makinda, Mjini Dodoma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete amjulia hali Waziri wa Fedha Mh. Mgimwa nchini Afrika Kusini

 Waziri wa Fedha, Mheshimiwa William Mgimwa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemtembelea Waziri wa Fedha, Mheshimiwa William Mgimwa katika Hospitali ya Kloof...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Corruption undermining the Growth of Natural Resources in Africa-UNESCO

Ministry of Natural Resources and Tourism, Deputy Permanent Secretary, Mr Selestine Gesimba  gives his opening speech at the two days workshop on World Heritage Communication Strategy for UNESCO...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Tourist Board 2013 Awards Presentation

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknologia, Mhe. January Makamba akiongea machache kuwashukuru Mbalozi wa wa Utalii wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumatano, Dec 11, 2013 kwenye Ubalozi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vodacom kuwaunga mkono wanamitindo nchini

Mkuu wa Idara ya Mahusiano ya Umma na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Joseline Kamuhanda,(kushoto)akikabidhi Tuzo ya Programu bora ya fasheni ya mwaka kwa waongoza kipindi cha “NIVARNA”kinachorushwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Skylight Band yazidi kuvumbua vipaji vipya, tukutane pale kati jioni ya leo

Kikosi kazi cha Skylight Band kikishambulia jukwaa ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar huku shabiki wao akipata Ukodak mbele ya jukwaa. Joniko Flower akichana mistari huku wenzake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kiki’s Fashion Rocking with her new 2014 Collection at Swahili Fashion Week 2013

Designer Kiki Zimba owner of Kiki’s Fashion Boutique waving to the Invitees during the Finale of Swahili Fashion Week 2013. You can Shop at Kiki’s Fashion,Haille Selaisse Road,Osterbay near Jackies...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sim card tax to stay: ruling

The Tax Revenue Appeals Board (Trab) said the suits by the mobile phone companies and banks were lacking not only in law but also in facts and evidence to support their claims.  The Citizen Leading...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZuRii Boutique Christmas Sale Starts this Sunday 15th Dec 2013

The Zurii Fashion & Beauty Boutique Christmas sale starts this Sunday 15 December 2013. Don’t miss a trick with ZuRii massive Clearance goodies. We’ve got great bargains of up to 50%  off. Be...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mandela alipoenda kutoa heshima za mwisho kwa Tata Rolihlahla Nelson Mandela

Kutana na mtoto Mandela mwenye umri wa miaka kumi (10) tu kutoka Tanzania ambae asubuhi ya siku ya alhamisi, 12.12.2013 majira ya saa tatu na nusu alifanya ofisi ya Ubalozi wa Afrika Kusini iliyopo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yaipongeza UCA-Tanzania kuwanyanyua wasanii chipukizi

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Utamaduni Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Bi. Leah Kihimbi kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa UCA-Tz, Emmanuel Mushy...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yaliyojiri kwenye mahafali ya 19 ya Chuo cha Uandishi wa Habari Dar Es Salaam...

Mahafali ya 19 ya chuo cha Uandishi wa Habari Dar es Salaam (DSJ) yamefanyika ijumaa ya desemba 13 mwaka huu ambapo wahitimu katika ngazi za stashahada na cheti kwenye fani ya uandishi wa habari na...

View Article
Browsing all 1758 articles
Browse latest View live