Tapeli wa kizungu anasakwa:-Taarifa kwa vyombo vya Habari na Umma
Tahadhari:- Kuna Tapeli Mwenye Asili Ya Kizungu Anadai Yeye Ni Raia Wa Africa Kusini Mrefu Anaonekana Sana Mitaa Ya Kinondoni Manyanya Mida Ya Usiku Ametapeli Watu Wengi Sana Akidai Kua Ameibiwa...
View ArticleTanzania kunufaika na mradi wa Mbogamboga mashuleni
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof. Sifuni Mchome akizungumza na wafanyakazi wa Wizara hiyo wakati wa hafla ya utambulisho wa Mradi wa Kupeleka Bustani za Mbogamboga na Matunda...
View ArticleWatu wawili wafa kwenye matukio tofauti Singida
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP. Geofrey Kamwela akitoa taarifa kwa waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) juu ya matukio ya kuuawa watu wawili mkoani Singida, likiwemo la Egila...
View ArticlePrincess of Saudi Arabia visit TANAPA Headquarters in Arusha
Princess Haifa Bin AbdulAziz of Saudi Arabia (far left) inspired by the statue of the Father of Nation the late Mwalimu Julius Nyerere at the reception of the TANAPA Headquarters in Arusha.In the...
View ArticlePensula English Medium School wafanya mahafali na kuanzisha mradi wa upanuzi...
Shule ya msingi na Nursery ya Peninsula imefanya mahafali ya wanafunzi wa Nursery na Mkurugenzi wa Shule hiyo Winne alike seam wamenzisha mradi wa Ujenzi wa maktaba na pia kusaidia Watoto wenye...
View Article[AUDIO]: Kuzaga kwa silaha za moto na kuongezeka kwa mauaji Tanzania
Picha kwa hisani ya thehabari.com Si jambo geni tena hivi sasa nchini Tanzania kusikia fulani kashambuliwa au kauawa kwa risasi. Silaha za moto hapa nchini hasa zile zinazomilikiwa kiholela zimekuwa...
View ArticleWorld AIDS Day 2013 Statement by Donald Kaberuka, President of the African...
AfDB President Donald Kaberuka. Africa has made significant progress in fighting the HIV/AIDS pandemic. In the past seven years, AIDS-related deaths declined by 32%.The number of people contracting...
View ArticleKinana akagua ujenzi wa Barabara ya Mbeya – Chunya
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (wapili kulia) akikagua ujenzi wa barabara ya lami ya eneo la kilometa 30 kutoka Mbeya hadi Chunya, wakati msafara wake ulipopita katika barabara hiyo ukienda...
View ArticleWalimbwende wa Miss Tanzania USA Pageant wajinoa kwa mara ya mwisho
Joy Kalemera kutoka New Jersey Faith Kashaa kutoka Alabama Julia Nyerere kutoka Maryland. Hellena Nyerere kutoka Maryland. Sham Manka kutoka Massachusetts. Doreen Rumaya kutoka Pennsylvania....
View ArticleKatibu Mkuu wa Wizara ya Habari ashiriki ziara ya Kombe la Dunia
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Sihaba Nkinga akiwa pembeni ya Kombe la Dunia lililopo nchini katika ziara zake jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo...
View ArticleEnock Rajabu kutoka Singida aibuka mshindi kwenye droo ya “Chomoka na Mwananchi
Mwalimu wa shule ya msingi Mwanzi ya Manyoni mjini, mkoani Singida, Enock Rajabu (kulia) akikabidhiwa hundi yenye thamani ya shilingi milioni moja baada ya kushinda droo ya ’Chomoka na Mwananchi’ na...
View ArticleDk. Kone afunga semina ya siku mbili ya soko la kukuza Ujasiriamali (EGM)
Mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone, akifungua semina ya siku mbili iliyohusu soko la kukuza ujasiriamali (EGM) iliyoandaliwa na soko la hisa la Dar-es-salaam (DSE) na kufadhiliwa na...
View ArticleFast and Furious Star, Paul Walker, Dies in a car crash
Paul Walker, star of the “Fast and Furious” films, died Saturday in a single-car accident and explosion. The actor died in a car accident and explosion in Southern California, first reported by TMZ....
View ArticleFainali za Epiq Bongo Star Search 2013 Red Carpet Swaggaz!
Wadhamini wakuu wa Epiq Bongo Star Search 2013 Awaichi Mawala kutoka Kampuni ya Simu za mkononi Zantel. Mtangazaji wa Epiq Bongo Star Search 2013 Siza akifanya mahojiano kwenye red carpet na Awaichi...
View ArticleJoy Kalemera ndiye mshindi wa Miss Tanzania USA Pageant
Mlimbwende Joy Kalemera akipungia mashabiki baada ya kushinda mashindano ya Miss Tanzania USA Pageant yaliyofanyika usiku wa Jumamosi Novemba 30, 2013 kwenye ukumbi wa Hollywood Ballroom uliopo...
View ArticleKCB Bank yaendelea kutoa mafunzo kwa Wajasiriamali
Meneja wa Tawi, KCB bank Zanzibar, Cosmas Mwankemwa akizungumza na washiriki wa wa semina ya ujasiriamali iliyoandaliwa na benki hiyo kwenye hoteli ya Grand Palace mjini Zanzibar jana. Kaimu Mkuu...
View ArticleMakamu wa Rais Dkt. Bilal asherehesha maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani...
Baadhi ya wanafunzi wakipita na mabango yenye ujumbe mbalimbali mbele ya Jukwaa Kuu, wakati Makamu alipokuwa akipokea maandamano hayo kwenye maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani, katika Viwanja vya...
View ArticleMzee Yusuf na ‘Jahazi lake’ wachengua mashabiki Dar Live
Shabiki aliyevaa kihasara akinengua jukwaani. Khadija Yusuf akiimba. Mzee Yusuf akinengua na mpiga gitaa wake. …Akiwaimbisha mashabiki. Mashabiki wakiserebuka kivyao. Shabiki akijimwaya. Kijana...
View ArticleKatibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana amaliza ziara yake Wilaya ya...
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisogeza matofali kwa Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi Siasa na Uenezi na Dr. Asha Rose Migiro Katibu wa Siasa na Uhusiano wa Kimataifa kuyapandisha juu...
View ArticleMh. January Makamba abariki uzinduzi wa Azam TV jijini Dar
Wageni waalikwa kwenye Red Carpet. Mtangazaji wa Televisheni ya Azam TV Wasiwasi Mwabulambo akiwa kwenye Red Carpet kabla ya mahojiano na Mkurugeni wa Kajunason Blog Cathbert Angelo. Afisa Mtendaji...
View Article