Quantcast
Channel: MO BLOG » Admin
Browsing all 1758 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda afungua mkutano wa Majaji Afrika

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozana  na Jaji Mkuu wa Tanzania, Othman Chande (kushoto) na Rais wa Mahakama ya Afrika Jaji  Sophia Kuffo kabla ya  kufungua mkutano wa majaji wa Afrika kwenye kituo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana awahutubia Wanasongea leo

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi katika viwanja vya Sokoni Bombambili mjini Songea leo wakati wa ziara yake ya kikazi katika mkoa wa Ruvuma, akikagua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Beatrice Mroki apata Kipaimara Kanisa la KKKT Ukonga

Novemba 17, 2013 ilikuwa siku ya furaha sana kwa Beatrice Mroki (kushoto) kwa kupata sakrementi yake ya Kipaimara baada ya kuhitimu mafunzo ya miaka miwili katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KCB Tanzania yatoa Mafunzo ya Ujasiriamali mkoa wa Arusha

Mkuu wa kitengo cha wajasiriamali wadogo na wakati wa benki ya KCB Tanzania tawi la Arusha,Bw.Juma Abdul akitoa mada katika semina ya wajasiriamali wadogowadogo na wakati yenye lengo la kuwaelimisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pan Africa Energy mbioni kumaliza ukarabati visima vya Gesi vya Songosongo

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mhandisi Felchesmi Mramba akitoa ufafanuzi jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam, juu ya kupungua kwa mgao wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Skylight Band yazidi kuongeza utamu wa burudani, njoo ushuhudie kipaji kipya...

Aneth Kushaba AK47 akiongoza kikosi kazi cha Skylight Band kuwaburudisha mashabiki wake Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha maraha Thai Village Masaki jijini Dar, usikose usiku wa leo burudani kem kem...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri wa Uchukuzi Dk. Charles Tizeba aendelea na ziara yake mkoani...

Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba (wa tatu kutoka kulia), akiongea na fundi ambaye anafanya shughuli za ujenzi katika Daraja la Reli la Bahi-Kintinku. Dk. Charles Tizeba amefanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Nchimbi afunga mafunzo ya kozi ya kuzima Moto wa Ndege Jijini Dar

Wahitimu wa Jeshi wa Zimamoto na Uokoaji wa kozi ya kuzima moto wa ndege wakizima moto kwenye ndege bandia kabla ya mafunzo yao kufungwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watch LG’s new flexible phone heal itself after a knife scratch

When LG announced its curved smartphone, the G Flex, it boasted that the handset was coated with a “self-healing” material and even compared it to Wolverine from X-Men. LG later released a promotional...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

P-Square watua Dar “Kupagawisha Jumamosi Leaders Club”

Mwanamuziki wa kundi la P – Square, Paul Okoye akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarake Nyerere, Tayari kwa ajili ya kutoa burudani kwa Watanzania, Msanii huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bodi ya NBC yafanya mazungumzo na wateja wao Jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu (kushoto), akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF) William Erio katika hafla iliyoandaliwa na bodi kwa wateja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MO is among the 10 Successful African Entrepreneurs To Follow On Twitter –...

  Dewji is the CEO of Tanzania’s METL, a leading conglomerate with interests in manufacturing and distribution. He takes to Twitter to tweet business success quotes, links to stories about African...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

P – Square watoa wito kwa vyombo vya habari nchini

Paul Okoye wa kwanza kulia, akizungumza na waandishi wa habari (hawako pichani) kuhusu tamasha watakalolifanya kesho Jumamosi. Novemba 23 katika viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es Salaam. Wa pili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda akutana na Waandishi wa Habari kutoka China

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na waandishi wa habari kutoka  China baada ya mahojiano, ofisini kwake mjini Dar es salaam, Novemba 22, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hapatoshi Chadema: Zitto, Dk.Mkumbo wavuliwa Uongozi, Arfi ajiuzulu

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu Maamuzi ya Kamati Kuu ya Chama hicho ya kuwavua nyazifa Naibu Katibu Mkuu,Zitto Kabwe na  Mjumbe wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yakiri kuna changamoto za kimfumo katika sekta ya Viwanda, Biashara

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza katika kilele cha Siku ya Viwanda Afrika katika ukumbi wa PTA sabasaba wakati wa kufunga maonyesho hayo ya siku ya viwanda katika bara la Afrika. Na MOblog Team...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Politics is more than a party, not even about personalities ……….

. Zitto Kabwe political saga has drew mixed feeling from the public By Constatine Magavila This is an opinion post that I have formulated over time and it serves the sole purpose of strengthening the...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kinana amaliza ziara Ruvuma, aelekea Kyela kwa Meli

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ,Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk.Asha-Rose Migiro ,Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mbunge wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Sefue akutana na Mkuu wa Taasisi ya Uongozi ya China

Makamu wa Rais wa Taasisi ya Uongozi ya Jamhuri ya Watu wa China Mh.Hong Yi akimkabidhi nakala ya kitabu chenye nasaha za watu mashuhuri kutoka jamhuri ya watu wa China  Katibu Mkuu Kiongozi Balozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Miss Tanzania USA Pageant

 

View Article
Browsing all 1758 articles
Browse latest View live