Quantcast
Channel: MO BLOG » Admin
Browsing all 1758 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu zaidi ya 75 wamekufa nchini Hispania kufuatia ajali mbaya ya treni...

Watu takriban 77 wamekufa na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa kati ya abiria 218 baada ya treni moja ya abiri kuacha njia na kuanguka kaskazini magharibi mwa Hispania. Mabehewa yote 8 ya treni hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prince William and Kate name their son George Alexander Louis.

The Duke and Duchess of Cambridge have named their son George Alexander Louis. Kensington Palace has said The third in line to the throne, who was born on Monday, will be known as His Royal Highness...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taifa Stars yatua salama nchini Uganda tayari kuivaa ‘The Cranes’ kutafuta...

Taifa Stars imewasili salama jijini Kampala tayari kwa mechi ya marudiano ya mchujo dhidi ya Uganda (The Cranes) kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Tatu za Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya Dunia yaipa changamoto Afrika kuboresha matumizi ya ardhi kuondoa...

Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia kwa Afrika Makhtar Diop. Benki ya  Dunia imetoa changamoto kwa nchi za Afrika  kuhimiza maendeleo endelevu ya  ardhi  ili kupunguza umaskini na kujiletea maendeleo....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Swahili TV mtaani kunani?

Na Alex Kassuwi Kwa wanakijiji wenzangu, miaka 30 iliyopita nisingeliweza kuamini ninayo yaona na kuishi hivi sasa. Kwa kifupi tuliona waakija kijijini kama mapadri, wataalamu waa mashirika toka nje...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Binti apotea akielekea shuleni tangu Jumatatu 22 mwezi huu.

 Pichani ni Mather Joseph mwenye umri wa mika 16, ambaye ni mwanafunzi wa Chuo cha Ufundi cha Santer Peter Parish. Aliondoka nyumbani akielekea shuleni huko Oysterbay akiwa amevalia ngua za shule,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Muimbaji mahiri wa Zimbabwe Chiwoniso Maraire afariki dunia.

 Mmoja wa waimbaji maarufu wanaofahamika nchini Zimbabwe Chiwoniso Maraire amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 37. Albam aliyoitoa Chiwoniso iliyoitwa ‘Ancient Voices’ ilimfanya kuwa staa katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkuu wa waangalizi wa Uchaguzi wa SADC Mh.Membe awasili Zimbabwe kushuhudia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chris Brown aja kivingine apiga rangi gari lake jipya la kifahari lifanane na...

Gari jipya la kifahari la Chris Brown aina ya Lamborghini Aventador baada ya kupigwa rangi lifanane na raba zake. Raba alizonunua hivi karibuni aina ya Nike Air Foamposites. Gari hilo la kifahari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete azindua mradi wa maji Muleba pamoja na kufuturu na wanamuleba...

Wananchi wa Muleba wakimshangilia Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili wilayani humo akiwa katika ziara yake ya siku sita Mkoani Kagera. Rais Kikwete akivikwa skafu na skauti baada ya kuwasili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Queen’s Coronation Memories.

Coronation memories: Buckingham Palace hosts exhibition of the dresses, the diamonds… and the home movies shot for the Queen. The impossibly lavish clothes worn at the ascension of our monarch go on...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waislamu nchini watakiwa kutumia kipindi cha mfungo kutoa sadaka, kuwahudumia...

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa nasaha zake alipowafuturisha viongozi wa dini mbalimbali mkoani Lindi. Waislamu nchini wametakiwa kutumia kipindi cha mfungo wa Ramadhani kuomba na kutubu dhambi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtoto mchanga wa siku 28 aibiwa Ilongelo wilaya ya Singida na mwanamke...

 Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida ACP Geofrey Kamwela akizungumza na vyombo vya habari (havipo pichani) ofisini kwake. Na Nathaniel Limu. Zakia Hussein (20) mkazi wa kijiji cha Kinyeto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

EAC Bra Survey team in Uganda.

The EAC Brand 2013 survey team embarked on a week-long mission to Uganda on how citizens perceive the regional integration activities, programme and how much they understand of the Community. The...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Channel O Presents…Marrying The Game.

  Tune in to ‘Marrying the Game’ on Channel O on DStv. Channel O presents Marrying The Game, a show you won’t want to miss, featuring multi-award nominated hip hop artist, The Game and his beautiful...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtu mmoja nchini China amewaua watu 5 kwa kuwachoma kisu na kujeruhi wengine...

Polisi nchini China inamsaka mtu mmoja aliyeripotiwa kuwaua watu watano kwa kuwachoma kwa kisu na kujeruhi wengine watatu. Shirika la habari nchini humo –Xinhua limesema mtu huyo mwenye umri wa miaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wahitimu wa vyuo vya elimu ya juu waula serikali yawaanzisha mpango maalum wa...

 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini toka Wizara ya Kazi na Ajira Ridhiwan Wema akieleza kwa waandishi wa habari juu ya mpango wa serikali kupitia Wizara hiyo kukuza ajira kwa vijana wahitimu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtuhumiwa wa mfululizo wa matukio ya ubakaji Afrika Kusini akutwa amekufa...

 Mtu mmoja anayetuhumiwa kuwa mmoja wa wawabakaji wabaya zaidi nchini Afrika Kusini Sifiso Makhubo (pichani) amekutwa amekufa katika sero ya gereza alilokuwamo. Sifiso Makhubo ambaye alikuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK awapa siku kumi na nne majambazi na wahamiaji haramu katika mikoa mitatu...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameamuru majambazi na wahamiaji haramu wote katika mikoa mitatu nchini kujisalimisha katika muda wa siku 14 kuanzia leo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Musoma Textile Mills (T) Ltd emerged ‘Solid Waste Management winner 2013’.

 The cleaner Production Centre of Tanzania (CPCT) dealing with Resource Efficiency and Cleaner Production (RECP) has conducted training on RECP to all manufacturing industries in Tanzania. The...

View Article
Browsing all 1758 articles
Browse latest View live