Quantcast
Channel: MO BLOG » Admin
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1758

Yaliyojiri Bunge maalum la Katiba mjini Dodoma

$
0
0

PG4A6513

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu na mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, William Lukuvi akichangia Bungeni Mjini  Dodoma  Aprili 17, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A6564

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, askofu Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Anglican Tanzania, Donald Mtetemela akichangia Bungeni mjini Dodoma.

PG4A6581

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Kuga Mzray akichangia Bungeni Mjini Dodoma.

PG4A6604

Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samueli Sitta (wapili kushoto wakizungumza na Beatrice Shellukindo (wapili kulia) na Riziki Lulida (kulia) kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Aprili 17, 2014. (Picha na Ofisi ya  Waziri Mkuu)


Viewing all articles
Browse latest Browse all 1758

Latest Images

Trending Articles



Latest Images