Zanzibalicious kuwakomboa Wanawake
Mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bi. Mwanaidi Salehe akisaini kitabu cha wageni cha Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious kwenye sherehe za uzinduzi wa Umoja huo...
View ArticleCFAO Motors wazindua toleo jipya la Mercedes Benz jijini Dar
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors, Bw.Wayne McIntosh akiteta jambo na baadhi ya wageni waalikwa kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa toleo jipya la gari aina ya Mercedes Benz E-Class...
View ArticleWaziri Chikawe atua Zanzibar, kutembelea Ikulu, NIDA na Uhamiaji leo
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe (kushoto) akipokelewa na Naibu Waziri wa wizara yake, Pereira Ame Silima, wakati alipotua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani...
View ArticleUingereza yajivunia kuongoza katika uwekezaji Tanzania
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na mwenyeji wake Waziri Mkuu wa Uingereza Bw. David Cameron alipomtembelea ofisini kwake 10 Downing Street jijini London kwa mazungumzo Machi 31,...
View ArticleKinana alivyotikisa Dar
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wakazi wa Dar es Salaam kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga. Wananchi waliohudhuria mkutano huo,...
View ArticleDiaper names
I know you have been laying awake at night wondering why baby diapers have brand names such as “Luvs”, “Huggies,” and “Pampers’, while undergarments for old people are called “Depends”. Well here...
View ArticlePitisheni mpango wa TIKA-Magalula
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Magalula Said Magalula akifungua mkutano wa wadau mkoani Geita unatakaojadili mchakato wa uanzishaji wa Mfuko wa Afya ya Jamii ujulikanao kama Tiba kwa Kadi (TIKA). Na Mwandishi...
View ArticleMakamu wa Rais Dkt. Bilal apanda mti kuadhimisha siku ya kupanda miti Kitaifa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipanda mti wa Mwembe nje ya Ofisi yake mpya ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya kupanda miti. (Picha na OMR).
View Article13 Watabasam na iPad za Smile
Mkuu wa Mauzo na Masoko wa kampuni ya Smile communications Tanzania, Lawrence Ndimbo akimpigia simu mmoja wa washindi wa promosheni ya Shinda iPad katika droo ya mwisho iliyoendeshwakatika makao makuu...
View ArticleRidhiwani kuanza na barabara kisha elimu na afya Tokamisasa
Ridhiwani Kikwete akihutubia wakazi wa kijiji cha Tokamisasa wakati wa mkutano wa kampeni za ubunge zinazoendelea ambapo aliwaambia kuwa atahakikisha tatizo la wakulima na wafugaji kwa kuweka mpango...
View ArticleRais Kikwete atembelea Aberdeen, Scotland, aongea na kundi la wabunge wa...
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia kundi la Wabunge wa vyama mbalimbali vya siasa walio marafiki wa Tanzania pamoja na wanachama wa Britain and Tanzania Society (All Party Parliamentary Group...
View ArticleOfisi ya Taifa ya takwimu yafunga mafunzo ya zoezi la uorodheshaji wa Viwanda...
Mkurugenzi wa Utawala na Masoko kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Stanley Mahembe akiwatambulisha wageni walioketi meza kuu (hawapo pichani) wakati wa kufunga mafunzo ya Zoezi la Uorodheshaji wa...
View ArticleMkoa wa Dodoma washiriki sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya bodi ya huduma...
Mkuu wa Mkoa Dodoma, Dr. Rehema Nchimbi (mwenye kilemba kichwani) akifanya ukaguzi wa vitabu na nyaraka za taarifa mbalimbalikwa ajili ya wasomaji , pembeni yake ni Mkutubi msaidizi wa maktabaa hiyo...
View ArticleTBL yaibuka mshindi wa pili tuzo za mzalishaji bora wa mwaka 2013
Rais Jakaya Kikwete akikabidhi kombe kwa mshindi wa pili wa tuzo wa mzalishaji bora wa mwaka 2013, kwa Mkurugenzi wa Huduma ya Makampuni na Masuala ya Sheria wa kampuni ya Bia ya TBL, Stephen...
View ArticleZiara ya Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Kinana yakumbana na changamoto za barabara...
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akimueleza jambo Mbunge wa jimbo la Nkasi Kaskazini,Mh.Ali Mohammed Kessy,walipokuwa wakitembea kwa miguu kufuatia msafara huo kukumbana na changamoto ya...
View ArticleRais Kikwete awasili Brussels kuhudhuria kikao cha wakuu wa nchi wa nchi za...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amewasili Brussels, Ubelgiji leo asubuhi 2 Aprili,2014 kuhudhuria kikao cha siku mbili cha Wakuu wa Nchi wa nchi za Afrika na za Umoja wa Ulaya (EU-Africa Summit). Kikao...
View ArticleMwenyekiti wa Kamati Nambari moja ya Bunge Maalum la Katiba ateta na...
Mwenyekiti wa Kamati Nambari 1 ya Bunge Maalum la katiba, Ummy Mwalimu akizungumza na Waandishi wa habari baada ya kuongoza kikao cha Kamati hiyo kwenye Kituo cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini...
View ArticleOSIEA yatoa wito kuwa na vyombo huru vya habari Jijini Dar
Meneja Mradi wa Asasi ya Kijamii ya The Open Society Initiative For Eastern African Tanzania (OSIEA), Agnes Hanti akiongea wakati wa mafunzo kwa wadau wa Habari nchini juu ya changamoto zinazowakabili...
View ArticleMeTL yashinda tuzo 3 za Rais za watengenezaji bidhaa kwa mwaka 2013
Na. Mwandishi wetu. Makampuni matatu makubwa yaliyo ndani ya MeTL Group hivi majuzi yamefanikiwa kutwaa tuzo za Rais za Watengenezaji Bidhaa kwa mwaka 2013. Makampuni hayo ni: East Coast Oils &...
View Article