Quantcast
Channel: MO BLOG » Admin
Browsing all 1758 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati ya maandalizi ya mkutano wa Diaspora nchini Uingereza 2014

Hon. Peter Kallaghe with Tanzania UK Diaspora Task Force at formation meeting. Kufuatia hatua ya Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza kuunda kamati ya muda (Tanzania UK Diaspora Task Force)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vifusi vya ndege vyaonekana Australia?

Meneja Mkuu wa Halmasshauri ya usalama wa ndege nchini Australia, Bw. John Young. Waziri mkuu wa Australia amesema kuwa mitambo ya satelite ya nchi hiyo imenasa picha za vitu vinavyoonekana kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taasisi ya Karimjee watoa milioni 70 kudhamini masomo ya tiba ya kansa kwa...

Mwenyekiti wa Taasisi ya Karimjee Jivanjee (KJF), Hatim Karimjee (kushoto), akikabidhi begi kama ishara ya kutoa ufadhili kwa Dk. Rehema Laiti kwa ajili ya kusoma shahada ya pili ya Udaktari bingwa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakazi wa Dodoma waja na maoni tofauti juu ya muungano

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba. Na Damas Makangale, MOblog aliyekuwa Dodoma Baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kuwasilisha Rasimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanri: Uwanja wa Ndege Mtwara kuboreshwa

Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Mtwara kwa ajili ya kujionea maendeleo ya uwanja huo. Na Saidi Mkabakuli Katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM bado imani na serikali mbili kama muundo bora wa Muungano

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye. Na Mwandishi wetu, MOblog Tanzania JUZI tarehe 18/03/2014 Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini Jaji Joseph Sinde...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HELSB yaanzisha utaratibu mpya wa kurejesha mikopo kwa njia ya mtandao

Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, elimu na mawasiliano wa bodi ya mikopo Tanzania, Cosmas Mwaisobwa akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam. Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, elimu na mawasiliano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barabara za juu kuondoa tatizo foleni jijini Dar

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Ujenzi Bw. Mrtin Ntemo akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu maendeleo yaliyofikwa katika ujenzi wa barabara hapa nchini tangu Serikali ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mgombea wa ubunge jimbo la Chalinze, Ridhiwani aomba kura kata ya Ubena

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mdogo jimbo la Chalinze, Ridhiwani Jakaya Kikwete, akihutubia mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Visakazi, katika kata ya Ubena jana. Wananchi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shule ya Sekondari Mabibo na Ubalozi wa Japan wasaini mkataba wenye thamani...

Mstahiki Meya wa Kinondoni Yusuph Mwenda akizungumza wakati wa usainishwaji mkataba baina ya shule ya sekondari mabibo na ubalozi wa Japan. Shule ya Sekondary Mabibo iliyopo katika Manispaa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete awasili Dodoma, leo kuhutubia Bunge Maalum la Katiba

Kweli Urais hauna ubia wala muda ama sehemu ya kuchapa kazi. Wakati wowote na mahali popote ni sehemu ya kazi, kama inavyoonekana hapa  ambako Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

This is something we should all read at least once a week..Make sure you read...

7% Written by a 90 year old This is something we should all read at least once a week!!!!! Make sure you read to the end!!!!!! Written by Regina Brett, 90 years old, of the Plain Dealer, Cleveland ,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Skylight Band inakufanya uanze week-end yako kwa kutabasamu ni leo ndani ya...

Meneja wa Band Aneth Kushaba AK47 akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village Masaki jijini Dar huku akisindikizwa na Digna Mbepera...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali kufufua kiwanda cha matairi cha General Tyre

Timu ya wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Tume ya Mipango wakitazama bidhaa zilizokuwa zikitengenezwa na kiwanda cha matairi cha General Tyre. Serikali ina mpango wa kufufua kiwanda hicho ambacho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bodi ya Filamu yatathmini maendeleo ya tasnia ya Filamu

Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Bi. Joyce Fisoo akizungumza na waandishi wa habari, hawapo pichani wakati wa mkutano wa waandishi wa habari kuhusu mafanikio yaliyopatikana Bodi ya Filamu kuanzia miaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

An Evening With the President: Rais Jakaya Kikwete, Sunday 30th March 2014 at...

The Tanzanian High Commission in conjunction with the Tanzania UK Diaspora Task Force are hosting an evening with our President Rais Dr. Jakaya Kikwete here in London, giving Tanzanians from across...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maandalizi ya tamasha la Pasaka yakamilika,Rebecca Malope kutumbuiza jijini...

MKurugenzi wa Msama Promotions Ltd, ambao ndio waandaji wa tamasha la Krismass na Pasaka, Bwa .Alex Msama amesema kuwa maandalizi ya tamasha la Pasaka linalotarajiwa kuanza kufanyika jijini Dar mnamo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali kutoa ruzuku kwa wavuvi ili kuimarisha sekta ya uvuvi nchini

Watendaji wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi na baadhi ya waandishi wa habari wakipanda kwenye boti ndogo kwa ajili ya kuelekea kwenye kisiwa cha Bongoye kufanya mkutano. Frank Mvungi- Maelezo SERIKALI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda afunga wiki ya Maji mkoani Dodoma

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua mradi wa maji wa Mkonze katika Maanispaa  ya Dodoma katika kilele cha wiki ya maji Machi 22, 2014. Kushoto kwake ni Waziri wa Maji, Profesa  Jumanne...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete kuifungua Barabara ya Mkata – Handeni na Handeni – Korogwe...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kesho anatarajiwa kuifungua rasmi barabara ya Mkata – Handeni ambayo ujenzi wake umekamilika kwa kiwango cha lami. Barabara hii...

View Article
Browsing all 1758 articles
Browse latest View live