Quantcast
Channel: MO BLOG » Admin
Browsing all 1758 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pinda akagua Marekebisho ya Ukumbi wa Bunge kwa ajili ya Bunge la Katiba

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akikagua kazi ya uwekaji viti vipya  katika ukumbi wa Bunge mjini Dodoma Januari 18,2014 ikiwa ni maandalizi ya  Bunge la Katiba linalotarajiwa kuanza mwezi ujao. (Picha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tangazo la Msiba wa Mzee Arnold Wilfred Nkhoma

 Marehemu Mzee Arnold Wilfred Nkhoma Kambonapany (kulia) enzi za uhai wake akiwa na mmoja wa watoto wake kwenye ibada maalum ya kutoa shukrani alipotimiza miaka 100 iliyofanyika kwenye kanisa la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kanusho la Dkt. Cyril August Chami kuhusiana na yanayoelezwa kwenye Mtandao...

Naitwa Cyril August Chami (PhD) Mbunge wa Jimbo la Moshi Vijijini na Mjumbe wa NEC-CCM kupitia Wilaya ya Moshi Vijijini.   Nimesikitishwa na kufadhaishwa sana na mtu au watu waliotengeneza akaunti kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majina ya Makatibu Tawala walioteuliwa na Rais Kikwete haya hapa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete jana, Jumamosi, Januari 18, 2014,  amefanya uteuzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya CRDB na UBONGO Media wazindua kipindi cha watoto cha”JJ Ubongo Kids”...

Watoto na wazazi wakifuatilia kwa umakini uzinduzi wa “JJ Ubongo Kids”  kwenye screen kubwa iliyopo kwenye ukumbi wa Century Cinemax. Watoto wa shule ya Academics, wakicheza kwa furaha na mmoja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania: World Bank Supports Land Ownership Reform and Better Access to...

World Bank Country Director for Tanzania, Mr. Philippe Dongier. The Government of United Republic of Tanzania and the World Bank signed the Financial Agreement for additional financing to the Private...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni ya China Word Buz yaelezea njia kupunguza gharama kwa wafanyabiashara...

Ofisa mtendaji mkuu wa kampuni ya China Word Buz na mwakilishi wa wamiliki wa viwanda 45 nchini China vilivyoingia mkataba wa kibiashara na kampuni hiyo China Bwana Cheng Wang Wu akizungumza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jahazi yatikisa kwa Muziki mkali wa Taarab Dar Live

Mzee Yusuf akiwadatisha mashabiki waliofurika Dar Live. Mzee Yusuf na wanenguaji wake kazini. Umati wa mashabiki ukiserebuka. Leila Mohamed akiwa kazini. Shabiki akiserebuka. Chidi Boy akikunguta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK alianika Baraza Jipya la Mawaziri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amewahamisha na kuwateua baadhi ya Mawaziri na Naibu Mawaziri kama ifuatavyo:- Mabadiliko Baraza la Mawaziri 2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vyama vya soka mikoani vyatakiwa kukuza vipaji vya vijana

Makamu rais TTF Taifa,Wallace Karia (wa tatu kulia) akiwa kwenye meza kuu pamoja na viongozi wanzake muda mfupi kabla hajafungua mafunzo yaliyohudhuriwa na viongozi wa TFF mikoa mbalimbali hapa nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na Balozi mteule wa Tanzania nchini Malaysia

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na kumkaribisha Balozi mteule wa Tanzania nchini Malaysia, Dkt. Aziz Ponary Mlima, wakati alipofika Ofisini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajali yaua 13 wakiwemo wa Familia moja Singida

WADAU TUNAOMBA RADHI KAMA KUNA PICHA ITAKUKWAZA KUFUATIA AJALI HII ILIYOTOKEA LEO MKOANI SINGIDA. Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela, akitoa taarifa ya ajali ya Noah T.730 BUX...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete aomboleza vifo vya watu 13 waliofariki kwenye ajali mkoani...

 Gari aina ya Noah T,730 BUX linavyoonekana baada ya kugongwa na Lori m koani Singida. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jamii yatakiwa kujitolea kuwasaidia yatima

Meneja wa Kampuni ya Vodacom mkoani Mbeya Emmanuel Sagenge (Kushoto) akikabidhi msaada kwa Mwenyekiti wa mtandao wa watoto mkoa wa Mbeya  Zahara Mansoor, wakati wa hafla fupi ya makabidhiano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete awaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri Ikulu leo

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi (Mb) Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Ikulu jijini Dar es salaam leo. Kushoto ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahojiano na Faria Zam kuhusu msaada wa watoto walemavu Zanzibar

   Pichani: Faria Zam muazilishi wa Hilmy Disability Charity Organisation nchini Uingereza akihojiwa na Abou Shatry wa Jamii Production Washington DC Karibu katika mahojiano ya Jamii Production na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gazeti la Championi lapongezwa

Mhariri Kiongozi wa Championi, Saleh Ally (kulia) akimpa zawadi ya shilingi elfu hamsini (50,000) Bi. Rose Majembe baada ya kumkuta kwenye biashara yake ya kukaanga mihogo, Mwenge jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni ya China World Buz yaendesha Semina kwa wafanyabiashara Jijini Arusha...

Shafii Mwaijande Ofisa Mtendaji Mkuu wa China Word Buz kwa upande wa Tanzania akizungumza na wafanya biashara wadogo na wakati kwenye ukumbi wa Triple A jijini Arusha wakati wa Semina kwa wafanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Former Isidingo actress Lesego Motsepe, who played Lettie Matabane, has died

South African actress Lesego Motsepe has died. Her body was discovered by her brother Moemise Motsepe around 11am today at her home in Randburg, her family said in a statement. She was declared dead...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wateja 1,590 wa Tigo wajishindia zaidi ya shilingi nusu billioni

Mshindi wa shilingi milioni 10 katika promosheni ya Tigo ‘Shinda Kitita na Tigo Pesa’ Bi. Margaret Mbungu Mwanjala akifurahia zawadi ya kitita cha fedha alizokabidhiwa na Mratibu wa Promosheni wa Tigo...

View Article
Browsing all 1758 articles
Browse latest View live