Quantcast
Channel: MO BLOG » Admin
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1758

Rais Kikwete akutana na Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Darfur

$
0
0

un1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa  Umoja wa Maitafa katika Darfur Bw. Mohamed Ibn Chambers aliyekutana na kufanya mazungumzo naye Ikulu jijini Dar es salaam jana Agosti 19, 2013.

un2

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa  Umoja wa Maitafa katika Darfur Bw. Mohamed Ibn Chambers aliyekutana na kufanya mazungumzo naye Ikulu jijini Dar es salaam.

un3

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa  Umoja wa Mataifa katika Darfur Bw. Mohamed Ibn Chambers aliyekutana na kufanya mazungumzo naye Ikulu jijini Dar es salaam.(PICHA NA IKULU).

 


Viewing all articles
Browse latest Browse all 1758

Trending Articles