Dereva daladala na fundi mekanika wazoa mamilioni ya Tigo Pesa
Mshindi wa shilingi milioni 2 wa promosheni ya ‘Shinda Kitita na Tigo Pesa’ Lazaro Loti Tulunyu ambaye pia ni fundi mekanika wa old Tabata dampo akifurahia kitita chake cha fedha alizokabidhiwa...
View ArticleNelson Mandela Foundation takes Mandela’s legacy to America
The Nelson Mandela Foundation said Wednesday it will take the Mandela legacy to the United States next month. The foundation said they are talking Nelson Mandela’s legacy of forgiveness and vision...
View ArticleSerikali ya Tanzania na Finland zatiliana saini Mkataba wa makubaliano wa...
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akizungumza na wadau wa Sekta ya Madini kutoka Tanzania na Finland, kabla ya kutiliana na saini Mkataba wa Makubaliano wa kufanya Miradi ya Pamoja...
View ArticleJuma Ngasongwa apata ajali Kibaha
Mh. Juma Ngasongwa amenusurika kifo katika ajali iliyo tokea jana jioni Kibaha Picha ya ndege Mkoani Pwani. Pichani anaonekana Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza na Dr. Loti Kiwelu akimjulia hali...
View ArticlePato la Taifa laendelea kukua
Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya Salum akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)leo jijini Dar es salaam kushoto ni Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Rished Bade....
View ArticleKampuni ya Rex Energy yatambulisha Teknolojia mpya ya kuhifadhi na kusambaza...
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya kusambaza vifaa vya umeme wa jua (Solar) ya Rex Energy Bw.Francis Kibhisa akizungumza na Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali (hawapo pichani),kuhusiana na uzinduzi na...
View ArticleLG yazindua TV aina ya OLED nchini Tanzania
Mkurugenzi wa Kampuni ya Garnet Star ambao ni wasambazaji wa bidhaa za LG, Tanzania, Rajesh Kumar (kulia) na Meneja Masoko wa LG, Shakti Vellu (kulia) wakizindua TV ya kwanza ulimwenguni aina ya OLED...
View ArticleAirtel yajipanga kwa droo kubwa ya milioni 50/- ya ‘Mimi ni Bingwa’
Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde akisisitiza jambo wakati akichezesha droo ya kumi ya promosheni ya Mimi ni Bingwa liyofanyika jana katika ofisi za makao makuu ya Airtel jijini Dar es...
View ArticleKuelekea kilele cha Miaka 37:CCM yajivunia mafanikio yake
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa mkutano wa CCM Mkoa wa Mbeya. Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisisitiza jambo wakati...
View ArticleCCM bado hakijapoteza dira ya kutetea wanyonge nchini
Katibu wa CCM Mkoa wa Mjini Mwangi Rajabu Kundya akimnadi mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mahmoud Thabit Kombo katika kampeni za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki zilizofanyika Mbweni...
View ArticleKampuni ya Issere Sports yatoa Jezi kwa Shule ya Sekondari Kerezange
Mchezaji wa zamani wa Simba, Qureshy Ufunguo (Kushoto) akimkabidhi jezi namba 14 Mkuu wa Shule ya Sekondari Kerezange, Kivule Ilala Dar es Salaam, Bi. Kirundu Mgeni kwa niaba ya Mkurugenzi wa Masoko...
View ArticleRais Jakaya Kikwete awaapisha Waziri na Manaibu Waziri Ikulu Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri na Manaibu Waziri waliokuwa wakiapisha Ikulu Dar es Salaam, leo Jan 30, 2014 wakati alipokuwa...
View ArticleBank Of Africa Tanzania Sponsors Two Athletes For Bamako International Marathon
From the left Mr. Solomon Haule-Head of Marketing Bank of Africa Tanzania, Mr.Suleiman Nyambui -Secretary General of Athletic Tanzania, Mr. Leonard Thadeo -Director of Sports, Ministry of...
View ArticleUNIC yaendelea kutoa mafunzo ya mateso ya kambi za wayahudi
Afisa Habari wa Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama akizungumza na wanafunzi wa shule ya msingi ya Diamond juu ya umuhimu wa kujifunza mauaji ya kimbari ya wayahudi ya...
View ArticleStatement On Claims By The News Of Rwanda
The Embassy of Tanzania in Rwanda is deeply saddened by malicious and untrue reports, published over the weekend by the Rwanda Government Owned Newspaper, The News of Rwanda, in which it accuses the...
View ArticleMsaada wako unahitajika kuokoa maisha ya mtoto Maryam
Kuna mdada wa miaka 18 Ambae amejifungua binti anaeitwa Maryam kwa bahati mbaya sana mtoto Huyo alipozaliwa hakua na sehemu ya kutoa choo kikubwa hali ya Kua kwamba sehemu hiyo imefunga. Kwa ujuzi wa...
View ArticleWaziri Mkuu wa Finland atembelea Bandari ya Dar Es Salaam leo
Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe (kushoto), akimtabulisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Shaaban Mwinjaka(aliyevaa tai nyekundu) kwa Waziri Mkuu wa Finland, Jyki Katainen, wakati...
View ArticleKamati ya Katiba, Sheria na Utawala watembelea Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango
Katibu Mtendaji, Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Dk. Philip Mpango akizungumza wakati wa Ziara hiyo. Wajumbe wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala walipotembelea Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango...
View ArticleSkylight Band yazidi kuwabamba mashabiki muziki wa Live Band, kama kawaida...
Divas wa Skylight Band wakiongozwa na Meneja wa Bendi Aneth Kushaba AK47 (katikati) kutoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar...
View Article