Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Balozi wa Marekani Nchini aliyemaliza muda wake, Alfonso Lenhardt, Ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma leo. Balozi huyo alikweda kuaga. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama Sarafu ya Ubora (coin of Excellency) aliyopewa na Balozi wa Marekani Nchini aliyemaliza muda wake, Alfonso Lenhardt (kushoto), Ofisini kwake mjini Dodoma leo.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akionyesha Sarafu ya Ubora (coin of Excellency) aliyopewa na Balozi wa Marekani Nchini aliyemaliza muda wake, Alfonso Lenhardt (kushoto), Ofisini kwake mjini Dodoma leo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)