Quantcast
Channel: MO BLOG » Admin
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1758

Wanaharakati Nigeria wataka rais Al-Bashir wa Sudan akamatwe.

$
0
0

sudan-protest

Wanaharakati nchini Nigeria wamefungua kesi katika mahakama kuu ya shirikisho mjini Abuja, wakitaka kukamatwa kwa rais Omar al-Bashir wa Sudan ambaye amewasili nchini humo, kuhudhuria mkutano wa Umoja wa Afrika kuhusu Ukimwi.

Al- Bashir amewekewa waranti wa kukamatwa na mahakama ya kimataifa ya Uhalifu-ICC yenye makao yake mjini the Hague, Uholanzi.

Rais huyo anashutumiwa kupanga mauaji ya kuangamiza na makosa mengine katika ghasia zilizouwa watu takriban 200,000 katika jimbo la Darfur.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 1758

Trending Articles