Quantcast
Channel: MO BLOG » Admin
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1758

JK afungua Kongamano la viongozi wa dini kuhusu matumizi ya Gesi asilia, Mafuta na Madini kwa Amani na maendeleo ya nchi

$
0
0
unnamed (9)
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa  na baadhi ya viongozi wa madhehebu mbalimbali ya Dini waliohudhuria Kongamano la siku mbili linalohusu Rasilimali za Gesi Asilia, Mafuta na Madini kwa Amani na Maendeleo ya Tanzania linalofanyika katika hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 1758

Trending Articles