Quantcast
Channel: MO BLOG » Admin
Browsing all 1758 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi wenye hasira nchini Bolivia wamzika mtuhumiwa wa ubakaji na mauaji...

Wananchi wenye hasira nchini Bolivia wamemzika mtuhumiwa wa ubakaji na mauaji akiwa hai kwa kumtumbukiza katika kaburi la mtu aliyemuua. Mtuhumiwa huyo Santos Ramos mwenye umri wa miaka 17,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii ndio tarehe nyingine ya show ya Miaka 13 ya JayDee kwa wale ambao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali ya Ujerumani yatoa punguzo la kodi kwa mashoga walio katika ndoa.

Mahakama ya Shirikisho la Ujerumani imesema kuwa sheria inayowapa punguzo la kodi watu walio katika ndoa ya mume na mke pekee yao ni kinyume cha katiba. Mahakama hiyo iliyoko mjini Karlsruhe imesema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nani Kumrithi Miss Tanzania Brigit Alfred Taji la Redd’s Miss Sinza?

Warembo 11 kati ya 12 wanaopanda jukwaani leo kuwania Taji lenye Sifa Kuu mbili ya Redd’s Miss Sinza 2013, lakini pia linaloshikiliwa na Redd’s Miss Tanzania 2012-2013, Brigit Alfred, leo katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Putin wa Russia atengana na mkewe baada ya ndoa iliyodumu kwa miaka 30.

Rais Vladimir Putin wa Russia ametengana mkewe Lyudmila Alexandrovna baada ya kuishi maisha ya ndoa kwa miaka takriban 30. Rais huyo mwenye umri wa miaka 30 na mkewe wametoa tangazo hilo katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Poulsen: Morroco inafungika kwao.

Kocha wa timu ya Taifa – Taifa Star Kim Poulsen na Nahodha wa Taifa Stars. Na Mwandishi Maalumu,Marrkech, Morocco Huku Timu ya Taifa Taifa Stars ikikabiliwa na mechi muhimu kesho (Jumamosi) dhidi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mzee Nelson Mandela hali mbaya alazwa tena hospitali kutokana na kusumbuliwa...

 Rais wa zamani wa Afrika Kusini Mzee Nelson Mandela amelazwa tena hospitali kutokana na kujirudia tena kwa ugonjwa wa mapafu. Afya ya Mandela mwenye umri wa miaka 94 ilianza kudhoofika na kubidi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kanye West won’t be around during Kim Kardashian’s delivery.

  Reality TV star Kim Kardashian is reportedly upset with her boyfriend Kanye West’s decision to be away from the delivery room when she gives birth to their first child next month. Kim, 32, is...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taifa Stars kushuka dimbani leo kuikabili Morocco ugenini.

 Picha juu na chini timu ya Taifa- Taifa Stars ikiwa katika hatua za mwisho za maandalizi ya mechi yao na timu ya Morocco (Lions of the Atlas).  Taifa Stars inatupa karata yake ya pili ugenini kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

EU team of experts on Nuclear Safety and Security visits Tanzania.

EU Team of Experts on Nuclearsafety and Security Visits Tanzania June 7, 2013 by dewjiblog

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dereva wa bodaboda Singida afariki papo hapo baada ya kugongwa na basi la...

Mwili wa dereva wa bodaboda mjini Singida Hamisi Mkimbu, ukiwa barabarani baada ya kugongwa na basi la Mgamba na kufariki papo hapo.  Hamisi anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 28 na 32,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bondia Japhet Kaseba wa Tanzania leo kuzipiga na bondia Rasco Chimwanza wa...

  Japhet Kaseba akitunisha misuli mbele ya Anthony Ruta ambaye alikuwa akisimamia zoezi zima la upimaji akisaidiwa na Ibrahim Kamwe ‘Bigright’. Bondia Japhet Kaseba jana alipima uzito tayari kumkabili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hoyce Temu akonga nyoyo za washiriki wa semina ya ‘How To Find Your Destiny’.

Mwendesaji wa semina ya “How To Find Your Destiny”  Hoyce Temu akisikiliza utambulisho kutoka kwa washiriki waliohudhuria semina hiyo ambao baadhi yao ni wajasiriamali, waajiriwa wa serikali, Mentors...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dondoo na Tetesi za uhamisho na usajili wa wanasoka Kimataifa.

Bosi wa Arsenal Arsene Wenger amepewa ruhusa kuendelea na mipango ya kumyakua mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney. Mtendaji Mkuu wa The Gunners Ivan Gazidis amesema klabu hiyo itamudu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM Dar yafanya Mazungumzo na Ujumbe wa Chama cha Kikomunisti chaVietnam.

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (aliyesimama) akifunga mazungumzo kati ya Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramdahani Madabida na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Kikomunisti cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magdalena Olotu alikwaa taji la Redd’s Miss Kigamboni 2013.

 Mgeni rasmi katika shindano la Redd’s Miss Kigamboni 2013 Mbunge wa jimbo la Kigamboni Mh. Dr. Faustine Ndugulile (CCM) akiwa ameambatana na Meneja Masoko Taifa wa shirika la ndege la Precision Air...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr. Asha Rose Migiro aongoza matembezi ya Hisani kuchangia fedha katika...

Dr. Asha Rose Migiro katikati Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa Umoja wa Mataifa na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kiamataifa Chama cha Mapinduzi CCM akiwasili katika hoteli ya Golden Tulip mahali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taifa Stars yafa kiume Morocco.

  Kikosi cha timu ya soka ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars katika picha ya pamoja. -Yafungwa mabao 2-1 Timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imefungwa mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Marakech...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Angalia Matukio ya Shida ya Maji Kata ya Kishapu.

Na Thehabari.com, Kishapu Wanasema maji ni uhai, kinyume chake bila maji hakuna uhai wa mwanadamu na hata wanyama. Kimsingi kauli hii inaonesha umuhimu wa maji katika maisha ya kila siku ya binadamu na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkutano wa Wahariri wa vyombo vya Habari na TANAPA waendelea mkoani Iringa.

Mkurugenzi wa Shirika la hifadhi za taifa TANAPA Allan Kijazi akijibu baadhi ya maswali kutoka kwa washiriki wa mkutano wa wahariri wa vyombo vya habari na TANAPA unaofanyika kwenye ukumbi wa Siasa na...

View Article
Browsing all 1758 articles
Browse latest View live