Quantcast
Channel: MO BLOG » Admin
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1758

Chelsea yaandika historia katika mchezo wa soka barani Ulaya.

$
0
0

Goli la dakika za nyongeza kutoka kwa Branislav Ivanovic limeisaidia Chelsea kuwa klabu ya kwanza ya Uingereza, kushinda mataji yote matatu makubwa ya UEFA, baada ya kuishinda Benfica kwa magoli 2-1 katika fainali za Ligi ya Europa mjini Amsterdam usiku wa kuamkia leo.

 Branislav Ivanovic akishangilia baada ya kuitandika bao Benfica.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 1758

Trending Articles